Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Wengine walipigwa risasi 16 maanake wali lenga kuwaua ila bado wakabaki na msimamo ule ule, afadhali mbowe yeye aliomba apate likizo ya mda mrefu, angekua amepigwa lisasi siange staafu kabisa muoga yule anapenda soft politics.Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Wengine walipigwa risasi 16 maanake wali lenga kuwaua ila bado wakabaki na msimamo ule ule, afadhali mbowe yeye aliomba apate likizo ya mda mrefu, angekua amepigwa lisasi siange staafu kabisa muoga yule anapenda soft politics.
..Alikuwa na sera Gani Jana zaidi ya malalamiko? Mbowe kachokwa na kachokwa, chadema mrudisheni tu huku mtaani tutajuanaWenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Alipigwa risasi akapona akaja kugombea 2020, akakimbia!...Wengine walipigwa risasi 16 maanake wali lenga kuwaua ila bado wakabaki na msimamo ule ule, afadhali mbowe yeye aliomba apate likizo ya mda mrefu, angekua amepigwa lisasi siange staafu kabisa muoga yule anapenda soft politics.
ni muhimu zaidi watu wa mitandaoni kufahamu na kuelwa jambo hili kwa uwazi zaidi, kwamba hakuna mgombea uenyekiti wa chadema Taifa wa kumshinda mbowe ispokua Mbowe mwenyewe,Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Hamna upepo kageuza, mambo kwa ground bado ni tight.Wenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!
Alikujavkugombea 2020 na watu wale walio mpiga lisasi, sio kuja kuongea nao maridhiano ya uoga, sisa za upizani za Africa ni kifo gazihitaji upiga dili kama MboweAlipigwa risasi akapona akaja kugombea 2020, akakimbia!...
Chadema for about 5yrs ago, ilikuwa kama haipo na haikuwa kwenye mpango wa ruzuku [kuisustan kwa kipindi chote hicho iliitaji mtu kichwa kweli] ushabiki Tuweke pembeni! Twende na trends za up and down!,..Alikuwa na sera Gani Jana zaidi ya malalamiko? Mbowe kachokwa na kachokwa, chadema mrudisheni tu huku mtaani tutajuana
ni muhimu zaidi watu wa mitandaoni kufahamu na kuelwa jambo hili kwa uwazi zaidi, kwamba hakuna mgombea uenyekiti wa chadema Taifa wa kumshinda mbowe ispokua Mbowe mwenyewe,
na hili liko wazi kabisa my friends, ladies and gentlemen 🐒
Kiukweli mimi si miongoni mwenu. Niko free ground. Ila kama si chuki binafsi utakubaliana nami kwamba katika uwezo wa kujenga hoja na kuongea kwa hekima na busara hakuna kama MboweCCM na michawa wake mshaurini asitokee mdahalo kwa maana Kila akifungua mdomo anayakoroga zaidi!
Kiukweli mimi SimoCCM na michawa wake mshaurini asitokee mdahalo kwa maana Kila akifungua mdomo anayakoroga zaidi!
gentleman,Ungemalizia Kwa kusema:
"...., wasema CCM."
Ingependeza zaidi!
Atakayeshinda atashinda na atakayeshindwa atashindwa
Angelikuwa na msimamo mkali asinge kuja kugombea na adui au muuaji wake, (siasa haziko hivyo)Alikujavkugombea 2020 na watu wale walio mpiga lisasi, sio kuja kuongea nao maridhiano ya uoga, sisa za upizani za Africa ni kifo gazihitaji upiga dili kama Mbowe
Ni hivyo!Na iwe kwa haki, uhuru na uwazi.
We judge through/according to records!Ungemalizia Kwa kusema:
"...., wasema CCM."
Ingependeza zaidi!
gentleman,
chukua hiyo point itakusaidia sana kukuepusha na mshtuko 🐒
LEMA AWAPIGA MASWALI MAZITO WAJUMBE WA MKUTANO MKUU CHADEMA SAKATA LA RUSHWAWenye hekima, wale wa juu juu, wasiofahamu chadema kwa kina, chawa wa mitandaoni, nadhani wamepata ufunuo hasa kwa undani juu ya kwa nini mbowe anastahili kuendelea kuwa mwenyekiti, kuna wakati ulifika chadema ikawa chungu, na wale majasiri njaa wakapatwa na woga mkali wakaona wayaokoe maisha yao kwa kutimua mbio ughaibuni,
#swala la msingi tujiulize je hawa watimua mbio wanatustahili?, kuwaachia chama?.
Napata sana mashaka!