Wabunge wa michongoHuyu jamaa ni mmiliki wa mashule yake huko mikoani hususani Arusha hivyo mda mwingi anakaa arusha na hajui changamoto za wapiga kura wake.
Hajawahi kuongea bungeni Wala kuishauri serikali juu ya changamoto za wanna Tarime.
Hana uhusiano na viongozi wenzake wa chama hususani madiwani.
Hata ofisi yake ya mbunge haijulikani nani katibu wake.
Anadharau wapiga kura wake, wafanyakazi wake mpaka serikali maana yeye Hana dereva anajiendesha mwenyewe.
Mbaya Zaid anajioenyeza Serengeti akagombee huko baada ya kujua Tarime hapendeki
🤣🤣🤣watu hana hamu naye wala hawataki kumjua hata jinaYaani leo mpaka reply ya #19 wadau hawajaomba "Picha tafadhali" ahahaaa..!
🤣🤣🤣🤣JF ni mkombozi kwa watu wengi sana.JF bhana! Yaani ni msitu mnene kweli kweli! Usikute wewe ndiye huyo Kembaki mwenyewe eti! Umeamua ujitetee! 😬😬😬
Usiwalaumu bure. Huyo hakushinda kwa kuraMtajuana wenyewe, mlimpigia kura wenyewe bila kulazimishwa, si mlisema mkibaki wenyewe bungeni mtapanga yenu na mtayapitisha, haya sasa tumewaachia bunge kuleni kwa urefu wa kamba zenu kama alivyoagiza mwenyekiti wenu
Anaitwa michael kembaki. Ni mweupe Sana kichwani hamna kitu anajivunia ni dharau na matusi tu wafanyakazi wake na kuwala mabinti ambao ni wafanyakazi wakeHuyu jamaa ni mmiliki wa mashule yake huko mikoani hususani Arusha hivyo mda mwingi anakaa arusha na hajui changamoto za wapiga kura wake.
Hajawahi kuongea bungeni Wala kuishauri serikali juu ya changamoto za wanna Tarime.
Hana uhusiano na viongozi wenzake wa chama hususani madiwani.
Hata ofisi yake ya mbunge haijulikani nani katibu wake.
Anadharau wapiga kura wake, wafanyakazi wake mpaka serikali maana yeye Hana dereva anajiendesha mwenyewe.
Mbaya Zaid anajioenyeza Serengeti akagombee huko baada ya kujua Tarime hapendeki
Wewe utakuwa ulimuomba kazi ya udereva alipokunyima ukaona uje JF ili upate msaada wa umbeya. Gari alilinunua yeye binafsi ili aliendeshe kwenda kwenye majukumu yake, sasa wewe hautaki aliendeshe! Kamroge yaishe.Huyu jamaa ni mmiliki wa mashule yake huko mikoani hususani Arusha hivyo mda mwingi anakaa arusha na hajui changamoto za wapiga kura wake.
Hajawahi kuongea bungeni Wala kuishauri serikali juu ya changamoto za wanna Tarime.
Hana uhusiano na viongozi wenzake wa chama hususani madiwani.
Hata ofisi yake ya mbunge haijulikani nani katibu wake.
Anadharau wapiga kura wake, wafanyakazi wake mpaka serikali maana yeye Hana dereva anajiendesha mwenyewe.
Mbaya Zaid anajioenyeza Serengeti akagombee huko baada ya kujua Tarime hapendeki
Muacheni mbunge asee, wapinzan wametulewesha mnoo!!!Huyu jamaa ni mmiliki wa mashule yake huko mikoani hususani Arusha hivyo mda mwingi anakaa arusha na hajui changamoto za wapiga kura wake.
Hajawahi kuongea bungeni Wala kuishauri serikali juu ya changamoto za wanna Tarime.
Hana uhusiano na viongozi wenzake wa chama hususani madiwani.
Hata ofisi yake ya mbunge haijulikani nani katibu wake.
Anadharau wapiga kura wake, wafanyakazi wake mpaka serikali maana yeye Hana dereva anajiendesha mwenyewe.
Mbaya Zaid anajioenyeza Serengeti akagombee huko baada ya kujua Tarime hapendeki
Huyu nae mzazi kauza ngo'mbe kukupeleka shule? daa bas familiya yako inashida sana mtakuwa mnaiman za gizaWewe utakuwa ulimuomba kazi ya udereva alipokunyima ukaona uje JF ili upate msaada wa umbeya. Gari alilinunua yeye binafsi ili aliendeshe kwenda kwenye majukumu yake, sasa wewe hautaki aliendeshe! Kamroge yaishe.
Kila siku unaongea kiswahili lakini umeshindwa kuelewa nilichoandika!Huyu nae mzazi kauza ngo'mbe kukupeleka shule? daa bas familiya yako inashida sana mtakuwa mnaiman za giza