Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwili upi unaouzungumzia mkuu..?🤣🤣Cheza na mwili wake
Ukweli ni kwamba hata huyo mchepuko nae ukikaa nae baada ya muda utamzoea utakua unapiga kimoja tu.Yah ni kweli umri umesogea. Niko early 40s. Ila inakuaje nje niende rounds za kutosha tu tena za kuunganisha na uzee wangu lakini ndani kimoko chaliii?
Baada ya mwaka mmoja hali itarudi vile vile kwa mke kimoko...atakutana na ex mke wake watakumbushia ataenda round 4Muache mkeo kisha muoe huyo mchepuko,
Problem solved.
Pole sana, ila ile mineno kuitoa hukutetemeka baba 😂😂😂🤣ndio maana yake nina hofu hadi naskia baridi hadi natetemeka wakati nasubiri comment ngumu ngumu kutoka kwa wajuba mbalimbali humu jukwaani 🐒
R I P Laigwanan comrade ENL
unatafakari nini sasa apo we mtumishi 🐒Pole sana, ila ile mineno kuitoa hukutetemeka baba 😂😂😂
Sasa binti sayuni alikuomba umchanganyie nini?? Ujue bado natafakari jibu sipati 😜
😂😂😂😂unatafakari nini sasa apo we mtumishi 🐒
we badala utafakari na kutubu makosa ulotenda kipindi kilopita wakati huu muhimu sana wa kwaresma,
we endeleza kutatafakari mchanganyo ambao huo haukubaliki hata kidogo kipindi hichi muhimu sana cha kwaresma 🐒
mie nilitoa mfano tu wa ushuhuda wa baadhi ya wanandoa na michepuko wanayopitia....
R.I.P Laigwanan comrade
mtumishi unachekelea madhambi 🐒😂😂😂😂
Akhu.! Mi nacheka ww na huo mchepuko wako mnaochanganyiana 😂😂😂mtumishi unachekelea madhambi 🐒
utachomeka vibaya wew 🐒
R.I.P Laigwanani comrade ENL
🤣mie siezi kua na nchepuko mtumishi huo ni ushuhuda wa wachepukaji 🐒Akhu.! Mi nacheka ww na huo mchepuko wako mnaochanganyiana 😂😂😂
Umeanza kukataa baba mtumishi 😂😂😂🤣mie siezi kua na nchepuko mtumishi huo ni ushuhuda wa wachepukaji 🐒
🤣kuchepuka?Umeanza kukataa baba mtumishi 😂😂😂
Yeah,Mfanye mkeo mchepuko.
Kweli mzee hii kitu ipo.Hilo naweza nikaamini maana nikitumia usafiri wa umma naona mambo mazuri ila nikirudi kwenye Private huku sielewi. Sa ingine mnara unasoma 2G mwanzo mwisho aka EDGE. Ila nikienda kwa majirani 5G na haipoi ni kitu juu ya kitu. Kuna wanawake wana majini mahaba haki vile.
Hii ya venue nayo inawesa kuwa sababu.Shida ni kuwa wanaume kwa wanawake tunaamini tukishakuwa mke na mume inabidi tuwe dull and boring as in hiyo ndo heshima ya ndoa.
Weeweeeew bana Fanyianeni tuvitu vitu huko ndani, sa mtu shuka halijabadilishwa wiki mbili, unafika hata humuandai, naye anapanda kitandani na kitendge Cha KTM bao zaidi utazitoa wapi?
La msingi
1. Badilisheni venue, muende hotels hata mara moja moja, au bedroom yenu ibadili hata uelekeo wa kitanda!!
2. Mkeo ajiweke kimalayamalaya( mnunulie vinguo vishenzi shenzi)
Akuvalie hata heels chumbani
3. Muandae kuliwa toka muda unaondoka kuelekea kazini mchana kutwa jitahidi kuflirt with her.
4. Kuwa mtundu na wewe sio unafika tu umemparamia. Cheza na mwili wake sio imekaa tu unasubiri kuchomekea uchomoe.
5. Mnunulie ka perfume unapenda apake mkiingia kitandani
6. Fanyianeni usafi wa mwili, massage, mnukie mpakane vya kunukia, uone kama hukumgonga bao za maana.
Sasa mmekaa tu na vitu vile vile boxer zile zile mindevu mizivu maji ya kuoga yaleyale kitanda hakivutii, chumba kina makorokoro kibao, kichwani Kuna mawazo una hofu kibao, upige bao 3 uzitoe wapi?
Huo ndo ukweli , af kuna zile za mashtuzi yaniHii ya venue nayo inawesa kuwa sababu.
Kuna manzi nilikuwa nae tukipasha geto ni so boring.
Nikimpeleka lodge show ya nguvu inapigwa.
Huwa inashangaza sana hiliKweli mzee hii kitu ipo.
Why huku una underperforming wakati ukienda kule unakaza mzigo hadi mwenyewe unajikubali kwamba hapa Leo safi kazi nimeifanya.