Kwa mchepuko round nyingi kwa mke kimoja chali

Yah ni kweli umri umesogea. Niko early 40s. Ila inakuaje nje niende rounds za kutosha tu tena za kuunganisha na uzee wangu lakini ndani kimoko chaliii?
Ukweli ni kwamba hata huyo mchepuko nae ukikaa nae baada ya muda utamzoea utakua unapiga kimoja tu.

Binadamu hua tunakinai
 
Inawezekana pia mkeo kuna vitu kapunguza ama amebadilika so unakosa ile hamu ya kuendelea na tendo after hapo!!! Saa zingine wanawake hujichukulia poa akishakuwa ndani ya ndoa!!!
 
🤣ndio maana yake nina hofu hadi naskia baridi hadi natetemeka wakati nasubiri comment ngumu ngumu kutoka kwa wajuba mbalimbali humu jukwaani 🐒

R I P Laigwanan comrade ENL
Pole sana, ila ile mineno kuitoa hukutetemeka baba 😂😂😂
Sasa binti sayuni alikuomba umchanganyie nini?? Ujue bado natafakari jibu sipati 😜
 
Pole sana, ila ile mineno kuitoa hukutetemeka baba 😂😂😂
Sasa binti sayuni alikuomba umchanganyie nini?? Ujue bado natafakari jibu sipati 😜
unatafakari nini sasa apo we mtumishi 🐒

we badala utafakari na kutubu makosa ulotenda kipindi kilopita wakati huu muhimu sana wa kwaresma,

we endeleza kutatafakari mchanganyo ambao huo haukubaliki hata kidogo kipindi hichi muhimu sana cha kwaresma 🐒

mie nilitoa mfano tu wa ushuhuda wa baadhi ya wanandoa na michepuko wanayopitia....

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
😂😂😂😂
 
Kweli mzee hii kitu ipo.

Why huku una underperforming wakati ukienda kule unakaza mzigo hadi mwenyewe unajikubali kwamba hapa Leo safi kazi nimeifanya.
 
Hii ya venue nayo inawesa kuwa sababu.

Kuna manzi nilikuwa nae tukipasha geto ni so boring.

Nikimpeleka lodge show ya nguvu inapigwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…