Kwa mchezo huu YANGA, msahau CAF CL

Kwa mchezo huu YANGA, msahau CAF CL

Ni maombi yangu mcheze hibi hivi na izi beki zenu kama huyj Joyce akutane na mtu kama shomi the way, POS, Okrah Okwaa eiiiiiiiii mtapoteanaaaa
Yani ...umeshasahau juzi kati tuu apo tuliwala futa mkiwa na hao makoloz wenu...usijisahaulishe we kolo mwekundu
 
Kwani wamemaliza kusajili hawa uto mbona naona mavi mavi tuu, CAFCCL tutegemee kuona wakipata point 1
 
Yani ...umeshasahau juzi kati tuu apo tuliwala futa mkiwa na hao makoloz wenu...usijisahaulishe we kolo mwekundu
Inazungumziwa leo ww unazungumzia jana...

Endelea kuiwazia janaa
 
Uzuri wa Yanga hawaaliki timu mbovu ili kufurahisha mashabiki kama simba.

Tukutane Aug. 13 ndo mtajua nani amesajili vizuri
 
Uzoefu kaka ...sasa nyie hamna hamna hapo ktk droo ya CAF CL mkutane na Peteo de lUanda si mtakimbiana kaka
We ulishawahi kukutana nao hao petro de luanda...nadhani unapozungumzia uzoefu unazungumzia wachezaji thus tumesajiri experienced player
 
Uzuri wa Yanga hawaaliki timu mbovu ili kufurahisha mashabiki kama simba.

Tukutane Aug. 13 ndo mtajua nani amesajili vizuri
Acha ww umesahau ule.msimu mlialika timu ya wa burundi
 
Back
Top Bottom