luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kiwango kibovuuu
Mnacheza mbele ya mashabiki wenu
Na jezi zenu za network + zile za museum
Mnacheza mbele ya mashabiki wenu
Na jezi zenu za network + zile za museum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TuliaKiwango kibovuuu
Mnacheza mbele ya mashabiki wenu
Na jezi zenu za network + zile za museum
Assume hapo mnacheza na Orlando Pirates au Kaizer chief alafu kiwango chenu ndio hiki aiseee msimu huu lzm Nabi mtamfukuza nyieeeTulia
Msitupangie maishaKiwango kibovuuu
Mnacheza mbele ya mashabiki wenu
Na jezi zenu za network + zile za museum
Nyie mlitoboa vip striker akiwa kibu na mugaluKiwango kibovuuu
Mnacheza mbele ya mashabiki wenu
Na jezi zenu za network + zile za museum
Ni maombi yangu mcheze hibi hivi na izi beki zenu kama huyj Joyce akutane na mtu kama shomi the way, POS, Okrah Okwaa eiiiiiiiii mtapoteanaaaaMsitupangie maisha
Nyie mlitoboa vip striker akiwa kibu na mugaluKiwango kibovuuu
Mnacheza mbele ya mashabiki wenu
Na jezi zenu za network + zile za museum
Uzoefu kaka ...sasa nyie hamna hamna hapo ktk droo ya CAF CL mkutane na Peteo de lUanda si mtakimbiana kakaNyie mlitoboa vip striker akiwa kibu na mugalu
Yani ...umeshasahau juzi kati tuu apo tuliwala futa mkiwa na hao makoloz wenu...usijisahaulishe we kolo mwekunduNi maombi yangu mcheze hibi hivi na izi beki zenu kama huyj Joyce akutane na mtu kama shomi the way, POS, Okrah Okwaa eiiiiiiiii mtapoteanaaaa
Mkuu yule Joyce ww ume muonaje ?
Kama mnacheza kwa kuangalia Mugalu na kibu wanafanya nini basi mumekwishaNyie mlitoboa vip striker akiwa kibu na mugalu
Inazungumziwa leo ww unazungumzia jana...Yani ...umeshasahau juzi kati tuu apo tuliwala futa mkiwa na hao makoloz wenu...usijisahaulishe we kolo mwekundu
Huyo na yule sijui Bigael sijui nani hakuna wachezaji pale. Wamepigwa na kitu kizito kichwaniMkuu yule Joyce ww ume muonaje ?
We ulishawahi kukutana nao hao petro de luanda...nadhani unapozungumzia uzoefu unazungumzia wachezaji thus tumesajiri experienced playerUzoefu kaka ...sasa nyie hamna hamna hapo ktk droo ya CAF CL mkutane na Peteo de lUanda si mtakimbiana kaka
Huyo na yule sijui Bigael sijui nani hakuna wachezaji pale. Wamepigwa na kitu kizito kichwani
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
unaongea kishabiki sana...mpira sio taarabu ukivaa khanga tuu unachezaHuyo na yule sijui Bigael sijui nani hakuna wachezaji pale. Wamepigwa na kitu kizito kichwani
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Acha ww umesahau ule.msimu mlialika timu ya wa burundiUzuri wa Yanga hawaaliki timu mbovu ili kufurahisha mashabiki kama simba.
Tukutane Aug. 13 ndo mtajua nani amesajili vizuri