Kwa mdada aliye Arusha, njoo PM tuyajenge

Kwa mdada aliye Arusha, njoo PM tuyajenge

Winga msaidieni kijana 😁wiki ilopita nlienda aisee Ile baridi Acha tu inapenya hadi Kwenye mifupa
kuna mablangeti ya mchina huku yanauzwa elfu hamsini, ukijifunika baada ya lisaa utalitoa mwenyewe yana joto sijui ndani ya nini haya!
 
Sifa : mradi awe anapumua na awe na kitu inamfanya yeye aitwe mwanamme maana mkuu hujaainisha sifa
 
kuna mablangeti ya mchina huku yanauzwa elfu hamsini, ukijifunika baada ya lisaa utalitoa mwenyewe yana joto sijui ndani ya nini haya!
Mm huko ni nyumbani kaka....sema nliondokaga Mda Mda hv ila round hii baridi nliyokuta ilikua hairuhusu hata ninywe maji Acha kuoga
 
swala dogo sana hiloz, ngoj nimalzane na uyu wa arusha then next season nitakuja,, ingawa sina uhakika kama unaweza kuzalisha wew
Ntakupigia usihofu Namba yako nnayo ndio utajua nazalisha au nafanyaje ushawahi kubambiwa mpaka unaita majirani?
 
Kuna mwenzako dereva malori aliokota demu fb akajitapa sanaa siku kasafiri yule demu kama mchawi alisafisha kigheto chote hadi bulb alitoa ila hakuna aliyemuona akiondoka na mazaga watu wamekuja kustuka mlango unalia tu ng'weeeeeeeh
 
Mm huko ni nyumbani kaka....sema nliondokaga Mda Mda hv ila round hii baridi nliyokuta ilikua hairuhusu hata ninywe maji Acha kuoga
ukirud utayakuta kila anayenunua hana raha nayo, badala yakutoe barid ulale kwa raha yenyewe yakufanya unavuja jasho kama unasukuma guta!
 
Kuna mwenzako dereva malori aliokota demu fb akajitapa sanaa siku kasafiri yule demu kama mchawi alisafisha kigheto chote hadi bulb alitoa ila hakuna aliyemuona akiondoka na mazaga watu wamekuja kustuka mlango unalia tu ng'weeeeeeeh
alimkaribishaje gheto hata kwao au ndugu zake hakuwafahamu, angemfia huyo walikutana tu muuzaji na mnunuzi, muuzaji akacheza vizuri!
 
hua hawajisemi,, battery low
Ukishaingia chumba cha upasuaji ndio utaelewa unatumbuliwa jibu kwenye Mstari KATI lazima upige ukunga majirani hukuuuu nachanikaaa msamba
 
Back
Top Bottom