Kwa mdada aliye Arusha, njoo PM tuyajenge

Kwa mdada aliye Arusha, njoo PM tuyajenge

🤣🤣🤣 Basi mtakuwa na matatizo haiwezekani mwanamke awe wa baridi mpk mikono
We si umekulia masaki hujui hizi mambo, tuliokulia Machame Mashariki tunajua mengi demu anakuja geto kapanda Toyo hapo mpaka muendane joto🤣mbaya zaidi kiganja Cha Mkono na mguu vina joto lake
 
abembeleze na anatoa pesa😂😂
JF imekuwa moto sana, wajuba baridi limewatandika wanaulizia mbunye kijanja.!! Kwani Arusha baridi linasoma nyuzi ngapi?? 🤣🤣🤣
 
D kubwa D kama D wakala wa Smirnoff Ice Black Arusha na viwanja vyake.
 
Back
Top Bottom