Kwa Memberz Wote. REF: Deadline ya Michango ya White Party.

 
Last edited by a moderator:
Ntakujaje na hukuniambia besti?
Hata sijui hiyo ni pati ya aje...ya weupe tu, ya kuvaa vyeupe au waje wasio mawaa...

Jamani samahani dearest sikukuambia..Lakn msema kweli mpenzi wa Mungu nilikuwa na wasiwasi kama unaweza pata ruhusa ya kuja.Lakn hata hivyo haujachelewa.Ni get tugeza tu ya wanajf kufurahi pamoja na kubadilishana mawazo maalumu kwa ajili ya kuukakaribisha mwaka mpya pia.Kama upo serious basi tumia namba za tigopesa au mpesa ulipe elfu 20 kwa Mtambuzi (Naamini bajeti haitaharibika)..Tena location ya event ni nzuri sana yani hapo Maeneo ya Bamaga I think..
 
Last edited by a moderator:
nitakutumia namba yake , ila ID yake ni maarufu sana jukwaa la siasa

poa mkuu fanya hivyo mapema muda umetaradadiiii kesho mwisho wa kupeleka mchango, na ijumaa siku ya pilau....maulidi

tuombe tanesco wasijezima umeme yakaanza yale ya shemejiii shemejiii.....
 
nimekumbukaaa mshahara utakua umeingia ,

poa mkuu fanya hivyo mapema muda umetaradadiiii kesho mwisho wa kupeleka mchango, na ijumaa siku ya pilau....maulidi

tuombe tanesco wasijezima umeme yakaanza yale ya shemejiii shemejiii.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…