Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Uwezo wa huyu kocha wetu ni mdogo sana. Amepitia njia nyepesi sana kufika makundi cafcl.
Hajashinda mechi yoyote miongoni mwa mechi ngumu msimu huu. Anzia mechi ya KMC, Yanga, Azam na hii ya Singida big stars. Upangaji wake wa kikosi ni mbovu sana.
Anabebwa na uzawa tu na sio uwezo.
Hajashinda mechi yoyote miongoni mwa mechi ngumu msimu huu. Anzia mechi ya KMC, Yanga, Azam na hii ya Singida big stars. Upangaji wake wa kikosi ni mbovu sana.
Anabebwa na uzawa tu na sio uwezo.