Kwa miaka 18 sijawahi kushudia ugumu wa biashara kama awamu hii ya Tano

[emoji1318]
HII NCHI NI YETU SOTE
NA
MAENDELEO HAYANA CHAMA!!!!
[emoji1318][emoji1318][emoji1318]

"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
 
Na hivi jua limechachamaa na mvua imegoma.kitaeleweka tu maana zaidi ya 90 % ya watanzania wanategemea kilimo kuendesha maisha yao. Itajulikana tu .
 
Hebu eleza vizuri kwanza!maisha halisi ya kuwa na hali mgumu hata Kwa mkulima aliyelima mahindi,mbaazi,korosho n.k nae alikuwa anaiiba?acheni kukariri Kwa kukubali. Et wanaolalamika wapiga dili!mkulima wa korosho ,mahindi ,mbaazi nao wapigadili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka facts sio unaleta hadith zabkusadikika tuuu maelezo mengi hakuna facts.
 
Hali imekuwa mbaya sana,kuna watu wanakufa kutokana na hali ya maisha huku mtaani,wastaafu hawajalipwa hata cent moja,biashara zimekufa,watumishi hawajapandishwa madaraja wala kulipwa mapunjo,ndoa zimefurugika na watu wameacha kuwasaidia ndugu zao

Wenye maisha mazuri hivi sasa ni Paulo Matter-core na Stone
Sina uzalendo tena kwa Taifa langu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…