Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Acha upuuzi wewe hao wanaomiliki v8 ni wangapi nchi hii ??Nimeandika hio ujue kuwa KUNA GARI LAZIMA UWE TAJIRI ndio umiliki. Mkuu una stress sana sio? Mbona jazba hivyo? Relax.
Kwa kuwa nyie mmetoka Kolomije juzi, mnaona kila mtu hapa mjini kaanza gemu juzi. Kwani Bakhresa ana miaka mingapi kwenye biashara? Au mnazungumzia chinga wauza maji ya Kondoro?Miaka 18 kwenye biashara umezeeka ,huwezi mbinu mpya waachie vijana..
Ni ngumu sana kumfundisha mbwa mzee mbinu mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuuliza mana naona umetanguliza tumbo wazi mbele kwa kuanza kupondea halafu huna chochote ulichoshauri katikati ya malalamiko yako sababu unakuwa kama mpiga zumari.''Gest'' ndiyo nyumba unayoijua tu wewe ehe!
Ushauri gani wakati watu walikimbilia ''fuata mkumbo'' bila kujiuliza. Hakuna ushauri ila hasara ndiyo itawapa akili.Nimekuuliza mana naona umetanguliza tumbo wazi mbele kwa kuanza kupondea halafu huna chochote ulichoshauri katikati ya malalamiko yako sababu unakuwa kama mpiga zumari.
Kama unakula na kulala bure kwa shemeji yako tatizo utalionea wapi?Acha kulalamika, unataka serikali ikufanyie nini ili mambo yako yaende, kwani nimekufunga jela, si bado una uhuru? Tatizo lipo wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau pia valium zinatembea kwa kasi...hahahahah!Mie Hakuna kipindi nauza 'pain killers' Kwenye Ki pharmacy changu Kama kipindi hiki
Biashara ipo njema Sana
Very fun pale waajiriwa wanapokuwa matajiri kuliko mabosi!!!!! Huku wilayani ukienda ofisi za Halmashauri ndo kuna ndinga kali balaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hardwares zipo busy, magari mapya tele mitaani, bar zinajaa pomoni
Wewe kama ilikuwa hulipi kodi kihalali ndio inakula kwako au kama biashara au wateja wako wengi wana linkage na zile sector zilizokua za kifisadi
Kuna biashara iliyokua maarufu nchi hii kama madawa ya kulevya? Viroba? Meno ya tembo? Wizi Bandarini? Wizi wa halmashauri? Sasa hayo mabilioni kwenye hayo maeneo ndio yalikua yanazagaa mitaani hovyo bila uchungu wala jasho, sasa hayapo tena lazima muone maisha hayaendi.
Yaan nikisikia point zenu nawaonea huruma sana maana hamuijui ya kesho. Biashara nyingi hasa za maduka zinakufa tokana na sera mbaya. Mfano ile kuruhusu machinga mpaka milangon imevunja mitaji ya watu waliokuwa wananunua na kuuza kwenye frame zao.Mada za namna hii ndizo ambazo zinafikirisha na kuleta mijadala ya nguvu...lakini nikwambie kitu ndugu yangu ...hali ya sasa ndiyo hali halisi...kwa miaka mingi watanzania tulikuwa hatuishi maisha halisi....haya ndiyo maisha yenyewe kiuchumi...kwamiaka mingi tulikuwa tunaishi maisha ya wizi wizi...fedha chafu za rushwa bandarini...wizi wa mafuta yasiyolipiwa kodi..tenda za ujanja serikalini...maofisi mengi ya brief case...wizi fedha za umma...kutofanya kaziserikalini na kufanyia mikutano kwenye mahoteli baadala ya ofisini...wizi wa mali za umma...sasa serikali hii imejaribu kuziba mianya hiyo...hakuna tena fedha chafu au za dezo...yaani fedha za aina hiyo zimepungua mno..sasa tunaishi maisha halali...tunatakiwa tufannye kazi...baada ya miaka kumi hivi hali itatengemaa...labda...madalali poleni sana yaani madalali wa nyumba, mashamba na kadhalika...
Wakati Magu anaingia ndio nimeanza biashara ninayoifanya nilikuwa na kafremu kamoja. Sasa hivi nimechukua fremu nne, nimejenga nyumba moja, ya pili namalizia, nimenunua gari ya pili January. December nimeenda vacation wiki moja Dubai. Labda inawezekana ingekuwa awamu iliopita ningepata mafanikio zaidi ya hayo.
Minimeliaaa we nimechoka....
....Hali mbayaaaa jamani
Subir nifatilie thread zakeNdani ya miaka minne tu! Unafaidika nini kudanganya watu usiowajua?
👆 wote Leo hapa home 🏡 tumemeza dawa za maumivu yakichwaUsisahau pia valium zinatembea kwa kasi...hahahahah!
Nini kinakufanya uhisi nadanganya ilhali hunijui?Ndani ya miaka minne tu! Unafaidika nini kudanganya watu usiowajua?
Subiri matusiMtajifunza tu kufanya biashara kihalali.