Wakati anaingia madarakani nilikua vizur kiuchimi maduka mawili. Na. Wafanyaka kazi wake, na nyumba lakini niulize now nimebaki na kaduka kadogo kamoja lingine nishafunga mda sana fukuza madogo waliokuwa wananisaidia kuyaendesha nipo pekee yangu, nyumba imeuzwa maana nikipoona nyumba nilikopa pesa bank. Yenyewe mbaya ya access nilipo susua kurejesha nikajipiga kwa ndugu na jamaa hawakunisaidia nikamshawishi my wife tuiuze nyumba yetu kabla access bank hawajaja kutufirusi tukakosa vyote... Basi akanielewa ikabodi tuuze ndo kulipa madeni ya bank. Ada za watoto, tukatafuta kiwanja. Tukapata tunaanza kujenga nyumba ipo kweny linta pesa imekata mpka sasa tumepanga. Nyaani huyu Magu mungu anamuona kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app