Na naniDu! ndugu yangu,inaonekana vinasaba vyako vimechukuliwa
AsantePole sana mkuu
Jiangalie vizuri inawezekana hizi post unatuma ukiwa jehanamu tayari...Kwa miaka 20 kilo zangu ni zilezile sijaota mvi au kuzeeka,niliozaliwa nao ni wazee mimi niko vulevile,vibinti vya miaka 20 vinaniambia mambo wakati ninesoma na mama zao.
Hii hali inakera sipati heshima yangu,kuna mzee jirani yangu hajui jina langu huwa ananiita we kijana...sipendi.
Kwenye kupeleka moto napeleka kama enzi niko teenager
Je mimi ni mzima au nilishakufa
Namba haijawahi kudanganya kamwe!Kwa miaka 20 kilo zangu ni zilezile sijaota mvi au kuzeeka,niliozaliwa nao ni wazee mimi niko vulevile,vibinti vya miaka 20 vinaniambia mambo wakati ninesoma na mama zao.
Hii hali inakera sipati heshima yangu,kuna mzee jirani yangu hajui jina langu huwa ananiita we kijana...sipendi.
Kwenye kupeleka moto napeleka kama enzi niko teenager
Je mimi ni mzima au nilishakufa
Dah kumbe tupo wengiLabda tumepisha kitu kimoja....
Mwili wangu ni ndevu ndevu sana, na zilianza tangia nikiwa Form II!! Na kama ilivyokuwa kwa ndevu, na mvi zimewahi kishenzi kabla hata kaka zangu walionizidi miaka kadhaa!! Ujinga zaidi hata mambo sijui ya superblack najionea taabu tu!!
Lakini nikisha-shave, ukachanganya na my life style, vibinti vinaniona size yao kumbe ni kama mbingu na ardhi!!
Nilikaa na uzito constant for about 20 years, nikaja kuongezeka juzi juzi tu hapa baada ya kuendekeza misosi ya wanaume wa Dar!!
Wacha weeKama unaimani sana na Mungu basi ujana wako umerejeshwa kama tai...
Ila kama ni imani haba unatumiwa na mshetani ili ubakie kijana...
In our cultureUlishakufa!
Kwanza mkuu ulipotelea wapiLabda tumepisha kitu kimoja....
Mwili wangu ni ndevu ndevu sana, na zilianza tangia nikiwa Form II!! Na kama ilivyokuwa kwa ndevu, na mvi zimewahi kishenzi kabla hata kaka zangu walionizidi miaka kadhaa!! Ujinga zaidi hata mambo sijui ya superblack najionea taabu tu!!
Lakini nikisha-shave, ukachanganya na my life style, vibinti vinaniona size yao kumbe ni kama mbingu na ardhi!!
Nilikaa na uzito constant for about 20 years, nikaja kuongezeka juzi juzi tu hapa baada ya kuendekeza misosi ya wanaume wa Dar!!
Tena mvivu sana wa majiMkuu huenda unakunywa sana maji.
Nakula kila kitu kinacholiwaAnza kula nyama choma
Unautamani uzee ?Kwa miaka 20 kilo zangu ni zilezile sijaota mvi au kuzeeka, nilizaliwa nao ni wazee mimi niko vilevile, vibinti vya miaka 20 vinaniambia mambo wakati ninesoma na mama zao.
Hii hali inakera sipati heshima yangu, kuna mzee jirani yangu hajui jina langu huwa ananiita we kijana...sipendi.
Kwenye kupeleka moto napeleka kama enzi niko teenager
Je mimi ni mzima au nilishakufa