Kwa miaka 20, sijaongezeka uzito hata kilo moja wala sijazeeka

Kwa miaka 20, sijaongezeka uzito hata kilo moja wala sijazeeka

Nadharia yangu ni kwamba;

Matumizi yako ya muda-michakato ni madogo.

Muda-michakato: Ni idadi ya mambomambo yote unayoyafanya kuishi mfano kula, kutembea kufanya kazi labda yapo polepole, yaani unafanya machache ndiyo maana muda wako unaonekana kibinafsi kwenda slow - relativity.

Mfano wa extreme case ni kobe na nzi, kobe na nzi wana umri mmoja wa kuishi katika kipimo cha muda-mchakato.
Ila nzi anazaliwa anakula harakaharaka, anakimbiakimbia hapa na pale anapevuka na kuzaa fasta hadi muda-michakato wake unaisha fasta anakufa. Lakini kobe anaenenda polepolee kila mchakato hadi kuja kuimaliza michakato yake ndio muda-mchakato unaisha anakufa naye.

So kwa binadamu wawili tulio na utashi muda unaenda tofautitofauti sana, mfano alovuta bhangi na asiyevuta sasa uje umlinganishe na aliyelewa mda wao ni tofauti.

Kwa kuwa una kilo zilezile inaonesha mchakato-ulaji wako inapunguza muda....... aah maelezo yanakuwa mengi ila tafiti zinaonesha uhusiano wa mojakwamoja katinya calories anazomeza kiumbe na umri wake. Kuna wadudu wanakula mara mbili ya mwili wao hawanaga maisha marefu, na panya waliopunguziwa calories waliishi zaidi

Labda inaaplai kwetu sijui, bado ni nadharia.
Hii naona ina aplai kwetu na viumbe wote. karibu viumbe wote wanaoishi maisha marefu hawali sana na hawatembei tembei sana au haraka haraka mfano Greenland sharks na kobe.

Angalia hata watoto wanaokula sana wakiwa wadogo wanakuwa haraka na kuzeeka haraka.
 
2015 nilienda kuchangia damu kupima uzito nikakuta 74
2019 nikapima nikakuta 74
2022 mwezi 4 nikapima tena nikakuta na 73.4
Nadhani nijambo la kawaida
 
Hii naona ina aplai kwetu na viumbe wote. karibu viumbe wote wanaoishi maisha marefu hawali sana na hawatembei tembei sana au haraka haraka mfano Greenland sharks na kobe.

Angalia hata watoto wanaokula sana wakiwa wadogo wanakuwa haraka na kuzeeka haraka.
Exactly, maisha yakienda kasi yanaenda kasi kwelikweli. Yas greenland sharks nawakumbuka niliwasomaga eti kasi yao kuogelea hadi binadamu anawashinda, wameamua kulaga hadi mizoga na waliolala[edited baada ya kupitia tena] maisha yanasonga hawana shida yaani

Na hakuna ambaye anajipunja wala, ile jumla ya uzoefu na raha/shida ni sawa sema mmoja amechagua kuzifaidi kwa karibukaribu mwingine ameziachanisha mbalimbali ila wote wanapata na kufurahia stahili yao yote.
 
Sasa huu uzi bila picha unakua na ukakasi kidogo.

Inabidi watu tuone tujiridhishe kwamba kweli bado unamuonekano wa kijana mbichi.

Unaweza kuwa uko mkavu vilevile lakini uzee haujifichi. Kumbuka muonekano wakizee hauonyeshwi Kwa mvi pekee.
 
Exactly, maisha yakienda kasi yanaenda kasi kwelikweli. Yas greenland sharks nawakumbuka niliwasomaga eti kasi yao kuogelea hadi binadamu anawashinda, wameamua kulaga mizoga tu maisha yanasonga hawana shida yaani

Na hakuna ambaye anajipunja wala, ile jumla ya uzoefu na raha/shida ni sawa sema mmoja amechagua kuzifaidi kwa karibukaribu mwingine ameziachanisha mbalimbali ila wote wanapata na kufurahia stahili yao yote.
sahihi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuwa umeshakufa.....Jokes
 
Nadharia yangu ni kwamba;

Matumizi yako ya muda-michakato ni madogo.

Muda-michakato: Ni idadi ya mambomambo yote unayoyafanya kuishi mfano kula, kutembea kufanya kazi labda yapo polepole, yaani unafanya machache ndiyo maana muda wako unaonekana kibinafsi kwenda slow - relativity.

Mfano wa extreme case ni kobe na nzi, kobe na nzi wana umri mmoja wa kuishi katika kipimo cha muda-mchakato.
Ila nzi anazaliwa anakula harakaharaka, anakimbiakimbia hapa na pale anapevuka na kuzaa fasta hadi muda-michakato wake unaisha fasta anakufa. Lakini kobe anaenenda polepolee kila mchakato hadi kuja kuimaliza michakato yake ndio muda-mchakato unaisha anakufa naye.

So kwa binadamu wawili tulio na utashi muda unaenda tofautitofauti sana, mfano alovuta bhangi na asiyevuta sasa uje umlinganishe na aliyelewa mda wao ni tofauti.

Kwa kuwa una kilo zilezile inaonesha mchakato-ulaji wako inapunguza muda....... aah maelezo yanakuwa mengi ila tafiti zinaonesha uhusiano wa mojakwamoja katinya calories anazomeza kiumbe na umri wake. Kuna wadudu wanakula mara mbili ya mwili wao hawanaga maisha marefu, na panya waliopunguziwa calories waliishi zaidi

Labda inaaplai kwetu sijui, bado ni nadharia.
Dah hapa umenifundisha kitu kweli.ulaji wangu sio mzuri sana pia nina ideas nyingi ila utekelezaji ni slow sana,labda Mungu anasubiri nitimize idea zangu ndio nizeeke nife.niliwahi kuitwa kucheza filamu wakahitaji mtu mwenye umri kama wangu,kwenda director akanikataa akasema naonekana mdogo
 
Hongera sana mkuu. Hata mm watoto wangu (kiumri) huwa wananiona ni kijana mwenzao. Binafsi huwa sipendi hali hiyo, japo uzee nao sio mzuri sana.

Hata nikiwa njiani na mke wangu huwa wanamsalimia mke wangu, "shikamoo mama" kwangu wananiambia "za saizi kaka". It is boredom, but ...




YESU KRISTO NI BWANA
 
Dah hapa umenifundisha kitu kweli.ulaji wangu sio mzuri sana pia nina ideas nyingi ila utekelezaji ni slow sana,labda Mungu anasubiri nitimize idea zangu ndio nizeeke nife.niliwahi kuitwa kucheza filamu wakahitaji mtu mwenye umri kama wangu,kwenda director akanikataa akasema naonekana mdogo

Huyo director nae haeleweki. Alitakiwa ajikite kwenye muonekano sio umri. Kuna watu Wana umri mdogo wanaonekana watu wazima kuliko umri wao. Wengine Wana umri Mkubwa lakini ndio kama vijana. Kama alitakiwa ajikite kwenye muonekano, filamu watu wanaona hawahangaiki na umri.
 
Hongera sana mkuu. Hata mm watoto wangu (kiumri) huwa wananiona ni kijana mwenzao. Binafsi huwa sipendi hali hiyo, japo uzee nao sio mzuri sana.

Hata nikiwa njiani na mke wangu huwa wanamsalimia mke wangu, "shikamoo mama" kwangu wananiambia "za saizi kaka". It is boredom, but ...




YESU KRISTO NI BWANA
Hiyo ni moja kati ya mibaraka ya kuifurahia.

Mi bado nipo dilema;

Je nitafute mke mwenye muonekano wa ukubwa ili watu wajue mi mkubwa automatiki kwamba 'unamjua mke wake? kale kajamaa ni kakubwa basi tu'

AU nioe mdogo zaidi ili asinipite nikapata kadhia unayokumbana nayo yaani sijajua asee
 
Huyo director nae haeleweki. Alitakiwa ajikite kwenye muonekano sio umri. Kuna watu Wana umri mdogo wanaonekana watu wazima kuliko umri wao. Wengine Wana umri Mkubwa lakini ndio kama vijana. Kama alitakiwa ajikite kwenye muonekano, filamu watu wanaona hawahangaiki na umri.
Ndiyo exactly director alichofanya, aliangalia muonekano na sio umri
 
Ndiyo exactly director alichofanya, aliangalia muonekano na sio umri

Ndio maana nikasema, tokea awali, alitakiwa aweke kigezo Cha muonekano, hata usingehangaika kwenda. Alivyotaja umri flani mwanzoni ukaenda Kwa kujua atazingatia umri.
 
Back
Top Bottom