Kwa miaka 20, sijaongezeka uzito hata kilo moja wala sijazeeka

Kwa miaka 20, sijaongezeka uzito hata kilo moja wala sijazeeka

Hiyo ni moja kati ya mibaraka ya kuifurahia.

Mi bado nipo dilema;

Je nitafute mke mwenye muonekano wa ukubwa ili watu wajue mi mkubwa automatiki kwamba 'unamjua mke wake? kale kajamaa ni kakubwa basi tu'

AU nioe mdogo zaidi ili asinipite nikapata kadhia unayokumbana nayo yaani sijajua asee
Ni sahihi kiongozi, ila wakati mwingine unaweza ona kama unadharaulika hivi, (japo ni hisia tu, najua). Binafsi huwa ninamshukuru Mungu kwa yote.

Kwenye kupata mke, usiende kwa macho haya ya nyama na damu. Muombe Mungu sana akupe mtakaeendana. Umbile la nje lisikubabaishe.


Jesus is Savior
 
Ingawa wanasema black dont crack. But sio kwa kila DNa. Nadhani kuna type ya watu wako hivyo...hawazeeki haraka. Sijajua kama ni baraka za Muumba wao au la au DNA zao. Mama yangu akiwa kwenye 50+ rafiki yangu alikuwa anazani ni Dada yangu. Ilihali kanizidi kama 25+years. Mzee juzi akiwa na 78+ndo nimeanza kuona mvi kwa mbali.
 
Exactly, maisha yakienda kasi yanaenda kasi kwelikweli. Yas greenland sharks nawakumbuka niliwasomaga eti kasi yao kuogelea hadi binadamu anawashinda, wameamua kulaga hadi mizoga na waliolala[edited baada ya kupitia tena] maisha yanasonga hawana shida yaani

Na hakuna ambaye anajipunja wala, ile jumla ya uzoefu na raha/shida ni sawa sema mmoja amechagua kuzifaidi kwa karibukaribu mwingine ameziachanisha mbalimbali ila wote wanapata na kufurahia stahili yao yote.
Kumbe aisee
 
Hongera sana mkuu. Hata mm watoto wangu (kiumri) huwa wananiona ni kijana mwenzao. Binafsi huwa sipendi hali hiyo, japo uzee nao sio mzuri sana.

Hata nikiwa njiani na mke wangu huwa wanamsalimia mke wangu, "shikamoo mama" kwangu wananiambia "za saizi kaka". It is boredom, but ...




YESU KRISTO NI BWANA
Ahaa kabisa mkuu sasa hapo ujue anayeteseka ni mkeo sio wewe anahisi labda amezeeka na anahofu uta chepuka
 
Huyo director nae haeleweki. Alitakiwa ajikite kwenye muonekano sio umri. Kuna watu Wana umri mdogo wanaonekana watu wazima kuliko umri wao. Wengine Wana umri Mkubwa lakini ndio kama vijana. Kama alitakiwa ajikite kwenye muonekano, filamu watu wanaona hawahangaiki na umri.
Kabisa ,director alizingua
 
Sasa huu uzi bila picha unakua na ukakasi kidogo.

Inabidi watu tuone tujiridhishe kwamba kweli bado unamuonekano wa kijana mbichi.

Unaweza kuwa uko mkavu vilevile lakini uzee haujifichi. Kumbuka muonekano wakizee hauonyeshwi Kwa mvi pekee.
Kuna binti kamaliza form six mwaka huu .aliomba nimsaidie kujaza vyuo mtandaoni,niseme tu ananiita mpenzi wake hana hata wasiwasi na tunapiga story kama washikaji,huku moyoni naona ninachofanya sio
 
Kwa miaka 20 kilo zangu ni zilezile sijaota mvi au kuzeeka, nilizaliwa nao ni wazee mimi niko vilevile, vibinti vya miaka 20 vinaniambia mambo wakati ninesoma na mama zao.

Hii hali inakera sipati heshima yangu, kuna mzee jirani yangu hajui jina langu huwa ananiita we kijana...sipendi.
Kwenye kupeleka moto napeleka kama enzi niko teenager

Je mimi ni mzima au nilishakufa
Kuwa muangalifu na kipengele DELICIOUS....
 
Kuna binti kamaliza form six mwaka huu .aliomba nimsaidie kujaza vyuo mtandaoni,niseme tu ananiita mpenzi wake hana hata wasiwasi na tunapiga story kama washikaji,huku moyoni naona ninachofanya sio

Nakuelewa, huo mfano unakosa uzito Kwa sababu mkishaanza hayo mambo heshima haipo Tena. Hata ukiwa Mzee atakuita beby, unaona sasa?

Pia muonekano wa kizee unategemea na vile unavyojiweka na kuendesha mambo yako, kama akili yako bado inakwambia haujazeeka, kuanzia mavazi, mazungumzo, marafiki na mipango utaipeleka kama chalii wakati jua linazama.

Si unaona unahangaika na kabinti kanakohitaji ukasaidie kujiunga na chuo unakatafuna, hauoni kwamba umegoma kuzeeka?
 
Nakuelewa, huo mfano unakosa uzito Kwa sababu mkishaanza hayo mambo heshima haipo Tena. Hata ukiwa Mzee atakuita beby, unaona sasa?

Pia muonekano wa kizee unategemea na vile unavyojiweka na kuendesha mambo yako, kama akili yako bado inakwambia haujazeeka, kuanzia mavazi, mazungumzo, marafiki na mipango utaipeleka kama chalii wakati jua linazama.

Si unaona unahangaika na kabinti kanakohitaji ukasaidie kujiunga na chuo unakatafuna, hauoni kwamba umegoma kuzeeka?
Soma uzi vizuri,sijamtongoza ila yeye ndio kajitongozesha,ofcoz mimi sio mzee ila sitakiwi kuonekana kama kijana aliyetoka chuo mwaka jana
 
Soma uzi vizuri,sijamtongoza ila yeye ndio kajitongozesha,ofcoz mimi sio mzee ila sitakiwi kuonekana kama kijana aliyetoka chuo mwaka jana

Nimesoma vizuri bandiko hatua Kwa hatua, mtu akikwambia jirushe barabarani utajirusha kisa umeambiwa?

Yeye kama anakuona junkie wakati wewe unajua sio kijana si uthibitishe utu uzima wako?

Binti kama anakuona kama mwana chuo au ndio umehitimu chuo ni wajibu wako kuonyesha kwamba makadirio yake hayapo sahihi.
 
Nimesoma vizuri bandiko hatua Kwa hatua, mtu akikwambia jirushe barabarani utajirusha kisa umeambiwa?

Yeye kama anakuona junkie wakati wewe unajua sio kijana si uthibitishe utu uzima wako?

Binti kama anakuona kama mwana chuo au ndio umehitimu chuo ni wajibu wako kuonyesha kwamba makadirio yake hayapo sahihi.
Sio kwa binti tu kila sehemu naonekana hivyo.kazini,majirani,nk sina jinsi nimeshazoea tu
 
Kwa miaka 20 kilo zangu ni zilezile sijaota mvi au kuzeeka, nilizaliwa nao ni wazee mimi niko vilevile, vibinti vya miaka 20 vinaniambia mambo wakati ninesoma na mama zao.

Hii hali inakera sipati heshima yangu, kuna mzee jirani yangu hajui jina langu huwa ananiita we kijana...sipendi.
Kwenye kupeleka moto napeleka kama enzi niko teenager

Je mimi ni mzima au nilishakufa
UMEDUMAA wewe kama si mpare basi ni msambaa au mkinga.
 
Hahahahaha umeshakufa kijana wangu
 
Nawacheki tu nasema Hiiiiiiiiiiiiiiiii
Screenshot_20220711-140525.jpg
 
Kwa miaka 20 kilo zangu ni zilezile sijaota mvi au kuzeeka, nilizaliwa nao ni wazee mimi niko vilevile, vibinti vya miaka 20 vinaniambia mambo wakati ninesoma na mama zao.

Hii hali inakera sipati heshima yangu, kuna mzee jirani yangu hajui jina langu huwa ananiita we kijana...sipendi.
Kwenye kupeleka moto napeleka kama enzi niko teenager

Je mimi ni mzima au nilishakufa
[emoji23][emoji23][emoji23]kwani wee unajionaje mzima ama uko kuzimu? Tuanze na wewe kwanza
 
Swali jingine katika utafiti kwa bwana Mdukuzii JE? Ukisalimiana na watu wengine kwa kupeana mikono mara nyingi unasikia mikono yao ni ya moto au ya baridi??

Tujaziejazie nadharia hapa......
 
Back
Top Bottom