radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
[QUOTE="bologna, post: 26546866, member: 101762" Unamzungumzia huyu Ferdinand aliyeburuzwa na Mchezaji Ricardo Kaka kama mtoto mechi Ac Milan na Manchester United old Trafford hadi wanapandiana mgongoni na mwenzie kama vichaa.[/QUOTE]
Huenda tv yako ilikuwa na makengeza kati ya gabriel heinz na evra wote ilikuwa inawaonesha wakina ferdinand punguza wivu unaponda hadi unaongea uongo
Huenda tv yako ilikuwa na makengeza kati ya gabriel heinz na evra wote ilikuwa inawaonesha wakina ferdinand punguza wivu unaponda hadi unaongea uongo