Mkuu tunaongelea mikopo ya 36T na 10T katika kipindi cha miaka 5 na kile cha miezi 10. Ni vema tukajua fedha hizo zilitumikaje ili tujue nani kakopa kwa tija na nani katuingiza mkenge.Kama kuna wakati ambapo tusingepaswa kusimuliwa kuhusu mapato & matumizi, basi ni wakati wa awamu ya JPM. In short, kazi inaonekana. ^HAPA KAZI TU!^
^Ukijumlisha miaka yetu 30 yote, mwenzetu yeye ametuzidi kwa miaka yake mitano tu^ ~ Ukweli Mchungu wa Mzee Ruksa.
#^Car-taaWar-who-kneeCar-bee-sir!!!^
Wewe sho-ga uwe unasoma taarifa ya kila mwezi ya benki kuu inayotoa mwenendo wa deni la taifa.Mb-uzi wewe, Samia amekopa trillion 1.3 tu
Kwa miaka 5 na miezi kadhaa, yaani kuanzia 2015 hadi March 2021 Magufuli amekopa kiasi cha Trillioni 36, kwa wastani wa Trillioni 7 kwa mwaka.
Magufuli amefariki March 2021 Deni la Taifa liko Trillioni 72. Kwa muda wa miezi 9, yaani kuanzia March 2021 hadi December 2021 deni la Taifa ni Trillioni 82, kwa maana kwamba kwa miezi 9 mama amekopa Trilioni 10.
Tukienda kwa kasi hii ya mikopo, miaka 4 ijayo mama atakopa Trillioni zaidi ya 50 na kufanya deni la Taifa kufikia Trilioni 120 ama zaidi mwaka 2025.
Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana. Mama hataki kuangalia vyanzo vipya vya kodi, yeye anakimbilia the easy way out, kukopa, kukopa na kukopa.
Hii nchi miaka 60 ya uhuru tunakopa kujenga madarasa, kujenga vyoo kweli? Hata hilo la ujenzi wa vyoo vya shule tunahitaji kukopa? Tukope kufanya vitu vya msingi.
Kuna watu wasema mama ameleta uwazi wa matumizi ya mikopo sio kama Magufuli, naomba tuulizane, kwenye hizo Trillioni 10, tumetangaziwa matumizi ama mgawanyo Trillioni ngapi? Si hizi 1.5 za covid tu za ujenzi wa madarasa? Nyingine 8.5 tunajua zimetumika wapi?
View attachment 2063295
Uongo Mtupu,Mama fedha alizokopa ni zile T1.3 ambazo matumizi yake tumeyaona.Rais aliekopa kuliko Marais wote ni Jiwe na hilo liko wazi.
Tatizo sio Kukopa bali unakopa aina ipi ya mikopo.Kwa miaka 5 na miezi kadhaa, yaani kuanzia 2015 hadi March 2021 Magufuli amekopa kiasi cha Trillioni 36, kwa wastani wa Trillioni 7 kwa mwaka.
Magufuli amefariki March 2021 Deni la Taifa liko Trillioni 72. Kwa muda wa miezi 9, yaani kuanzia March 2021 hadi December 2021 deni la Taifa ni Trillioni 82, kwa maana kwamba kwa miezi 9 mama amekopa Trilioni 10.
Tukienda kwa kasi hii ya mikopo, miaka 4 ijayo mama atakopa Trillioni zaidi ya 50 na kufanya deni la Taifa kufikia Trilioni 120 ama zaidi mwaka 2025.
Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana. Mama hataki kuangalia vyanzo vipya vya kodi, yeye anakimbilia the easy way out, kukopa, kukopa na kukopa.
Hii nchi miaka 60 ya uhuru tunakopa kujenga madarasa, kujenga vyoo kweli? Hata hilo la ujenzi wa vyoo vya shule tunahitaji kukopa? Tukope kufanya vitu vya msingi.
Kuna watu wasema mama ameleta uwazi wa matumizi ya mikopo sio kama Magufuli, naomba tuulizane, kwenye hizo Trillioni 10, tumetangaziwa matumizi ama mgawanyo Trillioni ngapi? Si hizi 1.5 za covid tu za ujenzi wa madarasa? Nyingine 8.5 tunajua zimetumika wapi?
View attachment 2063295
Ndio maana mimi kama Mchumi na tafuta mchumi yoyote anaunga mkono njia hii ya ku finance miundombinu..Deni la taifa bado ni himilivu....
Profesa Luoga amefafanua kitaalamu kuwa hatujafika hata nusu ya asilimia 70 ya "cap" ya kukopa.....
#Siempre JMT๐
#Siempre SSH๐
Nyie layman mna matatizo Sana ya kufikiri,hiyo package kutoka IDA ina sura 3,,mkopo usio na riba-concensional loan ,msaada yaani grants na mkopo wa riba nafuu.Si hizi 1.5 za covid tu za ujenzi wa madarasa?
Si tuliambiwa huo ni msaada wa covid
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza jazba mkuuNyie layman mna matatizo Sana ya kufikiri,hiyo package kutoka IDA ina sura 3,,mkopo usio na riba-concensional loan ,msaada yaani grants na mkopo wa riba nafuu.
Hiyo 36T over 5 years olmost 90% yote ni commercial na hiyo ya 10T olmost 80% ni grants na soft loans ..Mkuu tunaongelea mikopo ya 36T na 10T katika kipindi cha miaka 5 na kile cha miezi 10. Ni vema tukajua fedha hizo zilitumikaje ili tujue nani kakopa kwa tija na nani katuingiza mkenge.
Tunawasaidia na kama alivyosema mh.Rais ,,hii ni mikopo ambayo unapewa grace period ya miaka 5 na repayment period ya miaka 20..
Mapato yaliachwa kusomwa tangu 2018Hivi mbona siku hizi hatusomewi mapato ya kila mwezi?
Inawezekana tangu mwaka 2018 ulikuwa umelala ndio umezinduka leo.Mapato yaliachwa kusomwa tangu 2018
Acha bangi mapato yalisomwa miezi kama 6 had 7 ya mwaka 2016 baada ya kupokea kijiti hapo hatukusikia tena habari za kusomewa mapato TRA baadae wakaanza kusoma kwa mwaka usijisahahulishe bwashee hata kama unamahaba malihemu.Inawezekana tangu mwaka 2018 ulikuwa umelala ndio umezinduka leo.
Wewe huna akili, grant inakuaje tena mkopo? Hivi unaelewa unachokiandika?Hiyo 36T over 5 years olmost 90% yote ni commercial na hiyo ya 10T olmost 80% ni grants na soft loans ..
Mikopo yote ya Samia iko wazi na imekopwa kwa ajili ya kujenga barabara,kuzalisha umeme na kusambaza,elimu nk na mchanganuo wake huu hapa ๐
View attachment 2063573
View attachment 2063574
View attachment 2063575
View attachment 2063576
View attachment 2063577
Wewe taahira unalinganisha Japan na Tanzania? Hivi una akili timamu kweli?Tunawasaidia na kama alivyosema mh.Rais ,,hii ni mikopo ambayo unapewa grace period ya miaka 5 na repayment period ya miaka 20..
Kwamba ukijenga reli leo ikamalizika mapema unatumia sehemu ya faida unayopata kulipia sasa hapo kuna shida gani?
Kwamba Hawa waliokopa sasa wameuzwa au umesikia kuna shida ๐
View attachment 2063578
View attachment 2063579
Na chama chao wanakitunisha ila walipaji ni wote huu ni ufala sana.Kama wanawekeza kwenye nchi wacha wakope ila kama wanatia kwenye mifuko yao hiyo ni hatari!
Tusipofika huko Tutapungukiwa nini ?Deni la taifa bado ni himilivu....
Profesa Luoga amefafanua kitaalamu kuwa hatujafika hata nusu ya asilimia 70 ya "cap" ya kukopa.....
#Siempre JMT๐
#Siempre SSH๐