Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, kwa miezi 6 Mama amekopa Trilioni 10, Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana.

Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, kwa miezi 6 Mama amekopa Trilioni 10, Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana.

Makunduchi Gang aka Wahuni Gang wanakuletea Mikopo.

Wivu tu hao. Mama chapa kaxi endelea kuimarisha mahusiano na ulaya watupe MIKOPO achana nao wasiojua uongozi akina Kiroboto.

Bulembo Nape Mwendo mdundooo
Unaendeshwa na ushabik sana
 
Kwa miaka 5 na miezi kadhaa, yaani kuanzia 2015 hadi March 2021 Magufuli amekopa kiasi cha Trillioni 36, kwa wastani wa Trillioni 7 kwa mwaka.

Magufuli amefariki March 2021 Deni la Taifa liko Trillioni 72. Kwa muda wa miezi 9, yaani kuanzia March 2021 hadi December 2021 deni la Taifa ni Trillioni 82, kwa maana kwamba kwa miezi 9 mama amekopa Trilioni 10.

Tukienda kwa kasi hii ya mikopo, miaka 4 ijayo mama atakopa Trillioni zaidi ya 50 na kufanya deni la Taifa kufikia Trilioni 120 ama zaidi mwaka 2025.

Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana. Mama hataki kuangalia vyanzo vipya vya kodi, yeye anakimbilia the easy way out, kukopa, kukopa na kukopa.

Hii nchi miaka 60 ya uhuru tunakopa kujenga madarasa, kujenga vyoo kweli? Hata hilo la ujenzi wa vyoo vya shule tunahitaji kukopa? Tukope kufanya vitu vya msingi.

Kuna watu wasema mama ameleta uwazi wa matumizi ya mikopo sio kama Magufuli, naomba tuulizane, kwenye hizo Trillioni 10, tumetangaziwa matumizi ama mgawanyo Trillioni ngapi? Si hizi 1.5 za covid tu za ujenzi wa madarasa? Nyingine 8.5 tunajua zimetumika wapi?
View attachment 2063295
Tatizo unaandika kama una uelewa kumbe zero tu!!

Unadhani kila deni linapoongezeka ni kwamba mtu amekopa ????


Nani kakuambia magu alikopa 36 Tr. ? Umesoma wapi hizo taarifa?

Mikopo inariba, na deni likiiva linaanza kuongezeka kasi sababu ya riba kwahio ongezeko hilo linaweza sababishwa na riba ya mikopo iliyopita.
Hata tusipokopa kabisa sahizi tukizembea ku service madeni basi deni la taifa litakuwa tuu au kama tulichukua mikopo kichaa ya kibiashara ikiiva lazima tukome kwakuwa ina riba kubwa
 
Wewe taahira unalinganisha Japan na Tanzania? Hivi una akili timamu kweli?
Wewe ni fala mkubwa na taahira wa mwaka 2021, na utaanza utavuka mwaka ujao na utaahira wako.

Hiyo orodha umeiona Japan tuu? Pumbavu hapo kuna Nchi za Kiafrika za kutosha tuu..

Hata ningelinganisha na Japan kwani kuna shida gani? Mi layman mna matope mengi kichwani,stick kwenye fani yako uchumi tuachie wenye fani.g
 
Mkuu tunaongelea mikopo ya 36T na 10T katika kipindi cha miaka 5 na kile cha miezi 10. Ni vema tukajua fedha hizo zilitumikaje ili tujue nani kakopa kwa tija na nani katuingiza mkenge.
Rudi shule usihoji vitu ambavyo havipo

Deni la taifa linakuwa hata usipokopa sababu ya riba ya mikopo iliyopita

SSH amekopa 1.3 Tr tu hizo kumi unazijua wewe

Ulikuwa unategemea nini ukope standard chartered na credit suisse mikopo ikiiva lazima ikuvuruge tu ,utamtupia lawama mkuu aliepo tu
 
Wewe huna akili, grant inakuaje tena mkopo? Hivi unaelewa unachokiandika?

Wewe hizo details za kwamba 36T ni commercial terms na hizo 10T ni concessions loan umezitoa wapi kama huwezi kutofautisha kati ya grant na loan?

Rudi shule acha kudandia dandia mada.
Wewe ni layaman ficha bichwa lako hujui hata tofauti ya grants,soft loans,assistance ..stick kwenye history zako.
 
Tatizo unaandika kama una uelewa kumbe zero tu!!

Unadhani kila deni linapoongezeka ni kwamba mtu amekopa ????


Nani kakuambia magu alikopa 36 Tr. ? Umesoma wapi hizo taarifa?

Mikopo inariba, na deni likiiva linaanza kuongezeka kasi sababu ya riba kwahio ongezeko hilo linaweza sababishwa na riba ya mikopo iliyopita.
Hata tusipokopa kabisa sahizi tukizembea ku service madeni basi deni la taifa litakuwa tuu au kama tulichukua mikopo kichaa ya kibiashara ikiiva lazima tukome kwakuwa ina riba kubwa
Wewe akili huna, kutoku-service mkopo ndio kukopa kwenyewe, maana yake badala ya kulipa mkopo ukatumia hiyo hela kwenye mambo mengine, ndio kukopa kwenyewe, wachumi wanaita opportunity cost.

Rudi shule uongeze maarifa kwanza ndio uje tujadiliane.
 
Wewe ni fala mkubwa na taahira wa mwaka 2021, na utaanza utavuka mwaka ujao na utaahira wako.

Hiyo orodha umeiona Japan tuu? Pumbavu hapo kuna Nchi za Kiafrika za kutosha tuu..

Hata ningelinganisha na Japan kwani kuna shida gani? Mi layman mna matope mengi kichwani,stick kwenye fani yako uchumi tuachie wenye fani.g
Hizo nchi za Kiafrika mnalingana nazo kiuchumi? Hivi hata darasa la kwanza ulienda kweli?
 
Na tozo juu. Kwa miaka 5 atakopa Trilioni 100.Mayu nene 😥
 
Ndio kusema wachumi wamekosa namna ya kumsaidia Rais njia nyingine za kupata fedha zaidi ya kukopa??

Hivi wasomi wote hao wa uchumi toka tupate Uhuru wamechangia nini kwa Taifa letu??
 
Hizo nchi za Kiafrika mnalingana nazo kiuchumi? Hivi hata darasa la kwanza ulienda kweli?
Unadhani zilizaliwa zikawa kama zilivyo? Wewe ni mburula wa Uchumi..Ghana for instance ina madeni makubwa kwa Kukopa kujenga miundombinu and in 2010s it was behind Tanzania but leo hii iko mbele baada ya investment.

Huna akili stick kwenye history yako ,achana na wachumi huna ulijialo when it comes to debt financing and management and it's implications
 
Nadhani kama tunakopa na kumalizia miradi aliyoianzisha hayati JPM ya kimkakati ispokuwa ya chato tuu. Hakuna shida lakini hili la kukopa na kujenga madarasa halina mantiki.
 
Ndio kusema wachumi wamekosa namna ya kumsaidia Rais njia nyingine za kupata fedha zaidi ya kukopa??

Hivi wasomi wote hao wa uchumi toka tupate Uhuru wamechangia nini kwa Taifa letu??
Kwa taarifa Kukopa ndio njia rahisi ya infrastructure financing inayokubalika kiuchumi,Njia nyingine zote ni costful na hazina uhakika .
 
Kukopa kuna utaratibu wake na timing, ndo maana wakopaji wengi hujikuta wameishiwa bila kutarajia na kuhisi hiyo pesa haijafanya jambo la maana. Ndo maana ukiendesha nchi ukiwa na kipaumbele sana cha kukopa utaleta majanga makubwa kwa viongozi watakaokuja. Huwezi kukopa trilioni 1.3 ukajenge madarasa na vituo vya afya ambavyo vinakuwa budgeted kwenye matumizi ya maendeleo na huna huo uhitaji kwa kiwango hicho. Bora hata ingetupwa kwenye reli, barabara au stiglaz.......jambo jingine ni kama kuna double allocation, tozo zimeenda kujenga madarasa na vituo vya afya, mkopo wa covid nao umepelekwa kujenga madarasa na vituo vya afya, hili jambo linaingiaje akilini.​
Ukimsikiliza Mh. Ndugai unagundua hoja si mkopo tu bali anauliza zile tozo mbona na zenyewe zimepelekwa huko huko ila haisemwi ni madarasa yapi? Kisha kuna swala la 2025 hapo tumia akili yako alikuwa anamaanisha nini.....
 
Uongo Mtupu,Mama fedha alizokopa ni zile T1.3 ambazo matumizi yake tumeyaona.Rais aliekopa kuliko Marais wote ni Jiwe na hilo liko wazi.
Pole sana. Ukweli hata kama ni mchungu inabidi uupokee tu. Mama yako ameshakopa zaidi ya trillion 10 mpaka sasa.
 
Nadhani kama tunakopa na kumalizia miradi aliyoianzisha hayati JPM ya kimkakati ispokuwa ya chato tuu. Hakuna shida lakini hili la kukopa na kujenga madarasa halina mantiki.
Jpm ndo alitegeneza njia ya kukopa asinge anzisha hiyo miradi ya kutafutia kura na umarufu kwake, tusinge kua hapa tulipo Mama hana jinsi lzma akope amalizie hiyo miradi ya bila upembuzi ya kinifu ya mwenda zake,.....tunaomba CCM mkituletea Raisi mgine mtuletee mtu mwenye kujua na kuelewa political economy, sio kama akina JPM.
 
Kukopa kuna utaratibu wake na timing, ndo maana wakopaji wengi hujikuta wameishiwa bila kutarajia na kuhisi hiyo pesa haijafanya jambo la maana. Ndo maana ukiendesha nchi ukiwa na kipaumbele sana cha kukopa utaleta majanga makubwa kwa viongozi watakaokuja. Huwezi kukopa trilioni 1.3 ukajenge madarasa na vituo vya afya ambavyo vinakuwa budgeted kwenye matumizi ya maendeleo na huna huo uhitaji kwa kiwango hicho. Bora hata ingetupwa kwenye reli, barabara au stiglaz.......jambo jingine ni kama kuna double allocation, tozo zimeenda kujenga madarasa na vituo vya afya, mkopo wa covid nao umepelekwa kujenga madarasa na vituo vya afya, hili jambo linaingiaje akilini.​
Wewe utakuwa unaishi Sweden sio Tzn,,eti huna uhitaji? Pole Sana ,sio tu Kukopa kujenga madarasa bali huwa kuna Kukopa na kulipia deni la nyuma.

Ni mjinga tuu ndio haelewi maana ya kuwekeza kwenye human resource,hadi leo hii hamuelewi kwa nini hasa Tzn haiendelei mnashindwa kujua tuna nguvu Kazi yenye ujinga isiyo na maarifa wala ujuzi kiasi kwamba hata investors wakija wanakosa watu sahihi.

Kwa akili yako fupi unadhani boom za Japan,China,Ghana,Kenya nk zilitokana na nini labda?
 
Back
Top Bottom