Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Nilitegemea utahoji chama kuitwa chama cha demokrasia ilihali mwenyekiti ashabandua kipengele kinachoruhusu demokrasia ndani ya chama. Kuhusu mali zilizopotea nafikiri mleta mada ashaziorodhesha kwenye thread ili kuirahisishia tume itakayoundwa kuchunguza ufisadi ijue wapi pa kuanzia. Japo hilo ni gumu kuwezekana kwa vile alietafuna fedha ndio huyo aliekiweka chama mfukoni kwake.
Nitajie hizo Mali zilizopotea