Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Mtu yoyote awe Rais au nani hawezi kuishinikiza mahakama kufanya maamuzi kwa matakwa yake.
Mahakama inapofanya maamuzi inatakiwa kuzingatia katiba ya JMT na sheria za nchi.
Presha na ngojera hazimshurutishi Jaji au hakimu kutoa maamuzi.
Mahakama inapofanya maamuzi inatakiwa kuzingatia katiba ya JMT na sheria za nchi.
Presha na ngojera hazimshurutishi Jaji au hakimu kutoa maamuzi.