Na juzi president Samia katamka tumemfutia kesi zote Mr.Lissu!na hana ugomvi naye,mtoa hoja umejaa uongo na unafiki mkubwa na sitoshangaa kuwa umelelewa kwenye familia inayoamini uongo na unafiki, Mh Mbowe yup jela wewe endelea kufurahia maisha na family yako.