Ushauri wangu wa dhati.
Chukua iyo 30m ununue government bonds za 20 or 25 years. Utapata between 15.5 to 16% annual interest ambayo ulipwa kila miezi 6. Yaani hii ni clean money no longo longo.
Ukishapata iyo bond ombea mkopo ambao unawezapata up to 80% ya thamani ya bonds zako. Ukiwa na bonds banks wanatoa mkopo chap yaani no many questions. Mapato yako ya bonds ndio yanaenda kulipa mkopo. No stress za marejesho. Na ukimaliza mkopo 30m zako zipo palepale na utakula faida.
Then ukipata iyo cash jenga nyumba upangishe hapa utapata Mapato kila mwezi.
Yaani in short iyo 30m inaweza kukuzalishia cash na nyumba juu na ni guarantee utaipata baada ya miaka 20 au 25 kulingana na utakavyochagua. Na hata mambo yakikuendea vibaya ukaitaka hela yako kabla ya maturity unaweiza iuza kwenye secondary markert tena if you are lucky with interest.
Bonds unanunua kupitia kwa ma agent kama crdb Bank etc, wapo wengine wengi tu but make sure they are genuine.
Hope umeelewa..
Fene