Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Hizi ni ndoto nyingi za masikini
Unanunua gari ili uwe unawahi kazi za bosi wako.
Badala ya kuinvest
Kila mtu na maisha yake bhana!!!, Muhimu Uzima na furaha na amani,haijalishi ninafanya kazi kwa bosi au nafanya kazi yangu mimi mwenyewe.
 
nnachoshangaa mpaka DKK hii kwamba mtoa mada bado tu hajapigwa made na wadau , jinsi anavojbu kwa jeuli hapo, hiyo n million 4 asee huyu jamaa siku akishika hela, watu hawatakunywa maji
Hata ningekuwa mimi ningejibu kwa jeuri zaid ya huyo maana mtu kaomba ushauri wa gari ya hela hiyo halafu jitu linakuja eti hiyo hela wekeza mara hiyo hela nunua pikipiki mala sijui kiwanja mara powertiler

Sasa unajiuliza inamana hao wanao toa ushauri huo wamemchunguza mtoa mada wakaona hana kiwanja? Hajajiwekeza? Hana powertiler? Hana pikipiki? Ni vipi kama hivyo vyote anavyo sasa kaona anunue gari?

Sasa unataka kununua simu mtu anasema nunua viatu ni mawazo ya kimasikini tu gari kwa maisha ya sasa ni hitaji muhimu kabisa katika maisha yawe ya mtu wa chini wakati au wajuu
 
Pikipiki inasukumiwa mtaroni chap kwa haraka na wenye magari tena hata ka vits tu kanakusumia mtaroni chap kwa haraka halafu kanakuacha ukiendeleo kujiokota huko.
Hehehe daladala ndio zao hizo au wanakupigia hono kali..alafu kingine watu wanaamini kila mwenye pikipiki ni bodaboda, na bodaboda siku zote ndio wenye makosa
 
Hata ningekuwa mimi ningejibu kwa jeuri zaid ya huyo maana mtu kaomba ushauri wa gari ya hela hiyo halafu jitu linakuja eti hiyo hela wekeza mara hiyo hela nunua pikipiki mala sijui kiwanja mara powertiler

Sasa unajiuliza inamana hao wanao toa ushauri huo wamemchunguza mtoa mada wakaona hana kiwanja? Hajajiwekeza? Hana powertiler? Hana pikipiki? Ni vipi kama hivyo vyote anavyo sasa kaona anunue gari?

Sasa unataka kununua simu mtu anasema nunua viatu ni mawazo ya kimasikini tu gari kwa maisha ya sasa ni hitaji muhimu kabisa katika maisha yawe ya mtu wa chini wakati au wajuu
JF kuna watu wa aina tofauti, uwenda hata VICHAA humu wamo sababu hakuna sehemu tunapojiunga JF tunatakiwa kuonyesha vyeti vya kupimwa akili.
 
Kuna watu maendeleo kwao ni kuzungukwa na watu duni ukitaka kujenga watakwambia oooh ni gharama hio hela haitosh hata kiwanja ukitaka gari oooh hiyo hela kawekeze alimladi wawakatishe tamaa wenzao kwa kifupi ni tabia za kichawi
Hii ndio dunia ya waswahili
 
Ondokaneni kwanza na mawazo ya kimaskini kwamba kumiliki gari ni anasa maana kwa mawazo haya hata pikipiki mtasema awekeze kwanza kadhalika hata baskeli mtasema awekeze kwanza baadae hata kununua viatu mtataka ajiwekeze kwanza , maisha ya dunia ni mafupi sana usijipe tabu na mateso eti kisa ujiwekeze, kila kitu kina umuhimu wake katika maisha uhitaji wa gari si sawa na uhitaji wa pesa za kujiwekeza kadhalika si sawa na uhitaji wa nyumba nk. kina Mengi wamejiwekeza weeee lakin wamewaachia kina jacklyne ambao hata hawajui mengi kapambanaje ishi kwa furaha na upe raha uzima wako lililo ndani ya wakati wako lifanye.

Kisa nini kuambukizana vikwapa na TB na kusimamishwa kwenye public cars pamoja na kutukanwa na makondakta walevi hovyo hovyo wakati uwezo wa kuwa na usafiri wako wa kawaida na ukasafiri confortable na familia yako unao? Uzuri zipo gari kulingana na hali ya yeyote yule mwenye nia ya kumiliki gari. Kama uwezo wako ni wa kuimudu vits au starlet basi usihangaike na harrier au vanguard hivyo tu

Ndio mana hata viatu kuna anae vaa yebo ya tsh 3500 na kuna naye vaa viatu vya PVC tsh.6,500 lakin pia yupo anaye vaa safari boot Tsh. 70,000/= lakin yupo anaye vaa CAT Tsh. 250,000/= lakib mwisho wa siku kila mtu kavaa kiatu cha nafasi yake.
Umenena vyema mkuu.
 
Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini

Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Binafsi kama ni mtu wa safari sana na kibunda Cha worse sio issue nunua cresta 1g kavu Mzee baba,
 
Itoshe kusema kuwa ww n maskini wa kifikra.
Af em jaribu kuondoa lile wazo la kuwa hata uwekeze utakufa na kuviacha kama ulivyomtolea mfano Mengi....
Jiulize kwanza Mengi amezifaidi vp mali alizojilimbikizia kabla ya umauti wake.
What if asingewekeza akiwa na mawazo hasi kama yako.....
Sio mengi peke yake..... Angalia watu wengine waliofanikiwa kimaisha. Waliwekeza kwa kile kidogo walichokuwa nacho, kikawa kikubwa and wakaishi maisha wanayotaka.

Turud kwa mwenye huu uzi....
Kipato chake per month n laki 6 hadi 8, then ako na 4 millions kama bajeti ya gari.....
Wengi mtapingana na mimi lkn kuna jambo haliko sawa.

Hapa ntabishana na waajiriwa serikalini, lkn kwa mjasiriamali or mfanyabiashara anaelewa nnachozungumzia hapa n nn.

Mfano rahisi ni huu hapa....
Diamond platinumz alikuwa na uwezo wa kumiliki Rolls Loyc hata kabla ya Ginimbi...
Badala yake pesa hio alitumia kutengeneza mifumo mbalimbali itakayompa pesa zaidi mbali na sanaa anayoifanya. Pesa imezaa na amemiliki ndiga ya gharama kiasi kile. Wakati huo ashaitengenezea pesa mikondo kadhaa.

Then simpangii mtu namna ya kuishi, ila nmefanya kumshauri tu.

polokwane ungekuwa ww n MO ungeshanunua ndege yako binafsi kwa mawazo yako ya "kwann niteseke na foleni wakati pesa yakununua plane ninayo".

Soma reply ya igogondwa na Rusumo one #78 na #79 respectivelly.

Amka polokwane

Imagine " Una gari af kipato chako n laki nane kwa mwezi" inasound vp hio...

Unataka kuonekana tajiri, badala ya kuwa tajiri.
"Motivesheni sipika mna taabu sana" Huwa mnajiona mna akili kuliko watu wote Duniani wakati huo mnatumiwa kama madalali wa bidhaa na huduma kutoka kwa Makampuni ambayo yanawalipa 'Kamisheni' kiduchu kwa kazi kubwa mnayoifanya

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu
Nimejichanga sana mpaka kufikisha kiasi cha milion 4 kwa lengo la kununua gari ambayo haitanipa mzigo katka kulihudumia hapa jijini

Kipato kwa mwezi hakipungui laki 6 hakizid laki 8, gari nalihitaji kwa ajili ya mizunguko binafsi hivyo naombeni ushauri ipi itanifaa kwa movement kutoka home kwenda kazini na kurudi.
Sasa kwa milioni nne utapata gari mpya? acha umaandazi
 
Back
Top Bottom