KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,238
- 4,885
Mm nimenunua suzuki swift Usajili CLC ipo fresh sana ,tena M 4 kamili tu nadunda nayoSasa kwa milioni nne utapata gari mpya? acha umaandazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nimenunua suzuki swift Usajili CLC ipo fresh sana ,tena M 4 kamili tu nadunda nayoSasa kwa milioni nne utapata gari mpya? acha umaandazi
Mnapenda huko mabarabarani miwe nyie tu?Mkuu umegonga kwenye utosi wa wajinga walio wengi sana
Mm nimenunua suzuki swift Usajili CLC ipo fresh sana ,tena M 4 kamili tu nadunda nayo
Hiyo baba si uzi hiyo ni inanipa heshima sana mkuu, tena ni dizelMkuu niuzie hiyo mazda cx-5 [emoji28]
Hiyo baba si uzi hiyo ni inanipa heshima sana mkuu, tena ni dizel
Noma sana mkuu ,,imenihamasisha hii comment yakoAisee gari za misele za bei hiyo zipo nyingi tuu.. Unachotakiwa ni kujua wapi utazipata..!
Kuna watu gari wanauza wamekosa sehemu ya kupaki.. Wengine wamekosa muda wa kuziendesha.. Ila gari ni nzima misele unapiga na heshima unapata..!
Kutokujua kusikufanye useme Hakuna..!
Lete njia kaka ,,ili tuepukane na vipigo vya madalaliMbona zipo nyingi 2.5 _3M nyie mmekalili madalali wa Instagram mnapigwa hela nyingi
Cool kka huyu kasemaMkuu cheki na vitz zile model ya zamani unapata kwa hela hiyo lakini pia mafuta hakata kusumbua.
Kwa hela hiyo unaweza kupata pia mark ii grande, verosa ila hizi uwe na bajeti nzuri ya mafuta au huna mizunguko mingi kwa siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta uzungushe za kwako
Waswahili mnataabu sana
kwa hiyo laki 8 hawezi mudu gari??Kuielewa huu ushauri wa jamaa lazima uwe na akili kubwa, yaani kipato cha laki nane unataka ununue gari, tena kwa milioni 4?? Vijana mna tabu sana aisee