Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Hizi ni ndoto nyingi za masikini
Unanunua gari ili uwe unawahi kazi za bosi wako.
Badala ya kuinvest
Kila mtu na maisha yake bhana!!!, Muhimu Uzima na furaha na amani,haijalishi ninafanya kazi kwa bosi au nafanya kazi yangu mimi mwenyewe.
 
nnachoshangaa mpaka DKK hii kwamba mtoa mada bado tu hajapigwa made na wadau , jinsi anavojbu kwa jeuli hapo, hiyo n million 4 asee huyu jamaa siku akishika hela, watu hawatakunywa maji
Hata ningekuwa mimi ningejibu kwa jeuri zaid ya huyo maana mtu kaomba ushauri wa gari ya hela hiyo halafu jitu linakuja eti hiyo hela wekeza mara hiyo hela nunua pikipiki mala sijui kiwanja mara powertiler

Sasa unajiuliza inamana hao wanao toa ushauri huo wamemchunguza mtoa mada wakaona hana kiwanja? Hajajiwekeza? Hana powertiler? Hana pikipiki? Ni vipi kama hivyo vyote anavyo sasa kaona anunue gari?

Sasa unataka kununua simu mtu anasema nunua viatu ni mawazo ya kimasikini tu gari kwa maisha ya sasa ni hitaji muhimu kabisa katika maisha yawe ya mtu wa chini wakati au wajuu
 
Pikipiki inasukumiwa mtaroni chap kwa haraka na wenye magari tena hata ka vits tu kanakusumia mtaroni chap kwa haraka halafu kanakuacha ukiendeleo kujiokota huko.
Hehehe daladala ndio zao hizo au wanakupigia hono kali..alafu kingine watu wanaamini kila mwenye pikipiki ni bodaboda, na bodaboda siku zote ndio wenye makosa
 
JF kuna watu wa aina tofauti, uwenda hata VICHAA humu wamo sababu hakuna sehemu tunapojiunga JF tunatakiwa kuonyesha vyeti vya kupimwa akili.
 
Kuna watu maendeleo kwao ni kuzungukwa na watu duni ukitaka kujenga watakwambia oooh ni gharama hio hela haitosh hata kiwanja ukitaka gari oooh hiyo hela kawekeze alimladi wawakatishe tamaa wenzao kwa kifupi ni tabia za kichawi
Hii ndio dunia ya waswahili
 
Umenena vyema mkuu.
 
Binafsi kama ni mtu wa safari sana na kibunda Cha worse sio issue nunua cresta 1g kavu Mzee baba,
 
"Motivesheni sipika mna taabu sana" Huwa mnajiona mna akili kuliko watu wote Duniani wakati huo mnatumiwa kama madalali wa bidhaa na huduma kutoka kwa Makampuni ambayo yanawalipa 'Kamisheni' kiduchu kwa kazi kubwa mnayoifanya

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kwa milioni nne utapata gari mpya? acha umaandazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…