ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 682
- 1,108
HahahahaaaHuko mbinguni na nisifike tu
Wacha wee unywele on furikiiNimejiweka mwenyewe
Na kiongozi bora haogopi kuwa ndege joni. Unabeba lawama za mizoga na uchafu wa kila aina kwa maslahi ya wengi... ila inakuwa kama ndo sifa yako[emoji23][emoji23][emoji23] ndege joni anafanya kazi ya kusafisha mnapofikiria ni pachafu. Mizoga na masalia mengine yote... japo wengi huchukulia ni mchafu lakini anasaidia kuondoa uchafu na harufu mbaya katika mazingira
Wacha bana wacha!Mr. Romantic niazime macho yako
Unataka kunikopa wewe, nimekushtukia!Handsome
Huko mbinguni na nisifike tu
Kitu naturalWacha wee unywele on furikii
Hahahahaaa
Hahahhah wala sana sana nitawashangaa tu hivi imekuwajeHahaha, halafu ukituona mbinguni usianze kulalamika.
HahhahahaUnataka kunikopa wewe, nimekushtukia!
[emoji12][emoji12][emoji12]
Hahahhah wala sana sana nitawashangaa tu hivi imekuwaje
Wanasema znatokeaga mara1 tu hiz,..ila huwez jua banaUkimuona tena MPE salamu zangu
Basi ikijirudia usisahauWanasema znatokeaga mara1 tu hiz,..ila huwez jua bana
Basi ikijirudia usisahau
Kaka Dada angu anakusalimiaNimwambiaje dada mzigua
Kaka Dada angu anakusalimia
Atazimia,akizimia atapata stroke halafu atakufa akifa basi anarudi duniani sisi tunaendelea kusifu na kuabudu mbinguni..😂maana mbinguni hakuna kufa..Yaan sijui atakufa akituona mbinguni