Nasubiri yako[emoji847][emoji847][emoji847]Elezea na wewe
Anza weweNasubiri yako[emoji847][emoji847][emoji847]
Anza wewe
Huyo jamaa tumefanana hizo ndevu na nyweleAnza bwana
Wazee baba wanafaidi jamaniii....looh!!!!Tunakula kwa macho hapa maana hamna namna[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo jamaa tumefanana hizo ndevu na nywele
Nimeupenda sanaUzi mzuri sana huu
Tupo tofauti tofauti Dunia....Wazee baba wanafaidi jamaniii....looh!!!!
Hiyo avatar yako itole maelezo kidogoUzi mzuri sana huu
Mkuu nisubiri kusikia kutoka kwakoNimeupenda sana
Kwahiyo na wewe huna demu? Mama Swalehe je?[emoji848]Huyo kwenye i.d
Ni solver nguli
Ambaye hakuwa na demu
You gotch ma point
Hiyo avatar yako itole maelezo kidogo
Alinisaliti kitambo sanaKwahiyo na wewe huna demu? Mama Swalehe je?[emoji848]
Kimbaumbau katika ubora wako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyo Dada anaitwa Tais Araujo au Preta.Ni actress wa Kibrazil nilimfahamu kwenye Tamthilia ya Shades of sin.Navutiwa sana na muonekano na uigizaji wake.Halafu tunafanana wembamba. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kimbaumbau katika ubora wako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wow! Uko njema my dearest kungwi![emoji8]Nimejiweka mwenyewe
Updated nimesikia namba 1 sasa.Huyo kwa avatar ni Shahrukh Khan, king of bollywood. Huwa ananinspire sana. Ukifuatilia story yake alianza chin kabisa bila kubebwa. Juhudi na nidham ndio zimemfanya kuwa muigizaj wa pili kwa utajiri duniani.
Naamin kwenye kila mafanikio kuna siri nyuma yake, siri ya wengi ni juhudi na nidham kwa kile unacho kifanya.
Wifi angu wa pekee kabisaaa.Miss you [emoji7][emoji7]Hiyo avatar ni mimi mwenyewe...nimejificha sura maana naona aibu sana.
Hapo nilikuwa bar Arusha napata moja moto moja baridi.
Najikubali...ndio maana nimejiweka