Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Yaani sina comment zaidi kwenye hiyo picha nafikiri umenielewa [emoji12]
Umeongea kinyume chake
Nimekubali kudanganywa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo mmezoea kudanganywa mkiambiwa ukweli hamtaki
Nimekubali kudanganywa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uwe na jumapili njema kwako na familia nzima inayokuzunguka [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenishinda mzee wa liver
Asante mzee wa liver na kwako piaUwe na jumapili njema kwako na familia nzima inayokuzunguka [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Hahahaha kweli mkuuHuu uzi unanifanya nizoom Avatar za watu...
Watu waongo sana, eti anasema ni mimi ila nimejifunika uso.....Hahahaha kweli mkuu
hahahah....kumekucha insta babeHahahah
Insta babe umeshaamka
umeona eewwHongera ...mtu lazima kujikubali[emoji122] [emoji122]
Geuza sura hiyo basi tukuone dadaNimejiweka mwenyewe
Si afadhali yangu nimeziba sura ila ni mimi mwenyewe.Ungekuwa unajikubali usingeficha sura madame,,
Unataka kutupa kazi tu ya kuanza kuwaza hicho kinachojielezea ni niniMe sisemi sana...kila kitu kinajieleza..teh teh[emoji16][emoji16]
"U-maza" tuu shoo wangu wala si kingine,..Unataka kutupa kazi tu ya kuanza kuwaza hicho kinachojielezea ni nini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatari sanaWatu waongo sana, eti anasema ni mimi ila nimejifunika uso.....
Ukienda kuzoom unakuta picha ya rihana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]