The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Kwani wewe ni myahudi?Bongo hapahapa tunaruhusiwa kubatiza kwa majina yoyote yale. Siyo lazima ya kizungu au kiarabu inategemea na viongozi wa kanisa unalosali au analobatiziwa mtoto...
Kiyahudi ni lugha tu kama Kisukuma, Kiingereza, Kichaga, Kipare, Kimakua, kimwera, Kinyaturu,Kinyakyusa, Kimakonde au Kidigo.
Mara jina la kijijini, jina la mtaani kisanga tupu yani πJina la shule, jina la ubatizo, jina la vicoba.....hapa hata malaika akikutafuta akupe baraka hakupati
Usisahau ulilompa bae at first anakutokeaππJina la shule, jina la ubatizo, jina la vicoba.....hapa hata malaika akikutafuta akupe baraka hakupati
Bado kuna majina ya kwenye mitandao ya kijamii π€£π€£π€£πUsisahau ulilompa bae at first anakutokeaππ
Kuna mapadri wa ajabu sana...Bongo hapahapa tunaruhusiwa kubatiza kwa majina yoyote yale...
My world, Honey pie my last breath.....pumbavu sana πππππUsisahau ulilompa bae at first anakutokeaππ
Safi sana ufafanuzi tosha na idea nzuriKiyahudi ni lugha tu kama Kisukuma, Kiingereza, Kichaga, Kipare, Kimakua, kimwera, Kinyaturu,Kinyakyusa, Kimakonde au Kidigo...
Kuna mapadri wa ajabu sana...
Wenyewe tukaenda kubatiza mtoto, kuulizwa jina tukataja Clayton(mfano)
Basi akaendelea...
Nakubatiza Clayton Paulo kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu π€£π€£π π
Yaani kaongeza jina la Paulo mbele ya jina tulilolitaja sisi.
Jina pekee zuri ni lile la kwenye cheti cha kuzaliwa na haya mengine ni ziada na laana tu.Kuna mapadri wa ajabu sana...
Wenyewe tukaenda kubatiza mtoto, kuulizwa jina tukataja Clayton(mfano)
Basi akaendelea...
Nakubatiza Clayton Paulo kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu. Kha! tukabaki kushangaa na ndo ishatoka hiyo π€£π€£π π
Yaani kaongeza jina la Paulo mbele ya jina tulilolitaja sisi.
Hapo bado hujaweka jina la kwenye Social media.Jina la shule, jina la ubatizo, jina la vicoba.....hapa hata malaika akikutafuta akupe baraka hakupati
La kwenye cheti cha kuzaliwa ndo hilo hilo la ubatizo. Ukichanganya majina kwenye vyeti itakuletea usumbufu kuhakiki majina yako pale utakapotakiwa kufanya hivyo kwa kutumia vyeti/vitambulisho.Jina pekee zuri ni lile la kwenye cheti cha kuzaliwa na haya mengine ni ziada na laana tu.
Hujaelewa. Rudia kusoma.Cheti chako cha kuzaliwa ndiyo kila kitu.
La kwenye cheti cha kuzaliwa ndo hilo hilo la ubatizo. Ukichanganya majina kwenye vyeti itakuletea usumbufu kuhakiki majina yako pale utakapotakiwa kufanya hivyo kwa kutumia vyeti/vitambulisho.
Pia watu wanaweza kuandika majina yote mawili kwenye cheti cha kuzaliwa. Inafanyika sana
Laana tena?Jina pekee zuri ni lile la kwenye cheti cha kuzaliwa na haya mengine ni ziada na laana tu.