Kwa mliokaa Ulaya/Marekani hivi Wazungu na wao pia huchagua majina ya ubatizo kanisani?

Kwa mliokaa Ulaya/Marekani hivi Wazungu na wao pia huchagua majina ya ubatizo kanisani?

Baadaye alifafanua kuwa ni lazima tutoe jina kwenye biblia. Hilo la Clayton halipo kwenye biblia. So cheti kikaandikwa majina yote mawili...Clayton Paulo.

Angetushirikisha, sasa yeye katamka tu lililomjia kichwani kwake.
Paulo?? 🙄🙄 alikosa jina lingine?
Kila nikiona jina PAULO huwa namkumbuka "yule mkolomije"
 
Back
Top Bottom