Kwa mliooa mademu zetu asee jitahidini kuwakaza vizuri wake zenu! Wanawake wenu wanatukumbuka huku

Kawaida Sana hiyo, bro, mtu kumkumbuka mtu wake wa zamani,
Kama anakupenda wewe, kuna vitu anavipenda kwako, muonekano, hulka,pasonality, nk, vile vile hata yule wake wa zamani, kuna vitu alivipenda kwake,
Kwa hiyo kumkumbuka, ni jambo la kawaida,
Uzoefu wangu,unaweza ukakutana na mwanamke, au mwanamume kwa Mala ya kwanza, kumuona, na, akakupagawisha balaa, richa ya, kuwa upo tayari kwenye uhusiano,
Miaka hiyo nipo Mwanza, jirani yangu bishoo mmoja, alikuwa na mke wake, ka mrembo keupeee ka kisukuma, alikuaa anakapelekea moto balaaa, kana lia mpaka kanamtaja jina,
Siku nilipoamia pale, yule Dada, alinizimikia balaa, "kila akiniona, miguu kama unaishi wa nguvu, kanga inataka kuvuka, atajikesha, ataniangalia mpaka nimsalimie, au ni acknowledge kwamba nimemuona"wanawake wanajua hii kitu,
Yule mke wa, jamaa alinependa balaa, kilichomvutia Sana, nilikuwa napatana na mtoto wake wa kike, ka binti ka miaka mitano,
Haijalishi alikuwa anapelekewa moto kiasi gani, lakini alizimia na mnyamwezi! Na uchebe wangu, mwili jumba, athletic physique!
 
Asee umenena yote mkuu. Ngoja tujitahidi kwenye ndoa zetu
 
Usijisifu sana, huyo ni Malaya tu hawezi kuacha kukuletea hata akisuguliwa na chupa, hizo ni sababu tu wanatumiaga kuwahadaa mapimbi mchemsho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…