Kwa mliooa mademu zetu asee jitahidini kuwakaza vizuri wake zenu! Wanawake wenu wanatukumbuka huku

Umemaliza mkuu! hawa wanao shambulia ndo victims wenyewe sasa lazima wabwatuke ili kukwepa ukweli hili ni jukwaa la mapenzi sasa wapuuzi wengine sijui wanataka tu discuss nini humu siasa au ni majinga kweli kutwa kulizwa na mapenzi.
Endelea kutuma screenshot.


Huyo ex inaonekana ni aina ya wanawake wanaotaka Kupelekewa MOTO KISAWASAWA. Kakutana na mwanaume mwenye hela nyingi ila kimoja chali fofofo, lazima akukumbuke wewe uliyekuwa unampelekea Moto kisawasawa kwa Doggy style ambayo ulimfundisha wewe 🤣





Ila siku ukikamatwa na mke wa mtu, usilalamikie mtu .............. wakikupaka mafuta, usilalamikie mtu.................
Wakikuua nakupa RIP mapema tu 🤣
 
😁😁😁 Ni ngumu sana mkuu
 
Mbinu za kula fedha ya bwege hizo. Mnaweza kuwa mko watano na kila mmoja anaambiwa hivyo hivyo kwa wakati wake. Hujui dunia wewe!
 
hata mke naye alikuwa ni demu wa mtu naye anamkumbuka mtu wake
cross multiplication
 
Get money get money cause hakuna nobel Prize of sexing and boy ukioa malaya thats your loss, hata uikesheee na kudumbukizaa makangale, she 'll go back to the street kupata different taste cause sex to her is a game that can't be played against the same player everyday. Shauri yako utafia kinenani
 
Ni kama kujisifu kuwa wa kwanza kwenye darasa la wajinga.

Unakuta wa kwanza amepata 36 out of 100.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…