Kwa mliooa mademu zetu asee jitahidini kuwakaza vizuri wake zenu! Wanawake wenu wanatukumbuka huku

🤣
 
wacha kudanganywa dogo,kama ungekuwa mtamu kwenye hizo shughuli asingeenda kuolewa kwingine kama unabisha oa na wewe uone panapovuja
 
Tell him again and again please!
 
Usije muamini mwanamke kwa maneno yake,,demu ukiwa nae vizuri atakusifia weeee ila mkitibuana atakuambia kiba100 au humkuni vizuri nk. Ni watu wa drama sana hao.
 
umejiweka kwa safe side kiongozi ila ukweli ni kwamba kila mtu ako busy anadeal na mboga ya mtu...
 
Unakosea Sana kudhani kuwa ukipiga mbupu vzr ni garantii ya kuto kupigiwa mbupu mwanamke ni zaidi ya umjuavyo,wakati we unakaza mguu kuna mwenzio anatunukiwa Kwa kuwa muuza Sura mzuri Tu! Zaidi nakukaribisha kwenye chama la wakubwa waliooa,sehem ambako busara zinatumika ziadi kuliko hisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…