thirteen06
Senior Member
- May 17, 2021
- 118
- 100
Kwenye kusaka mwenza utata ni mwingi Sana. Unaweza fika mahali ukahisi kuchoka kuhangaika kutafuta mwenza wa ndoto zako ili kupata alie Bora, matokea yake wote unaowachunguza kwa lengo zuri la kuoa unakutana na sintofaham mbalimbali ambazo ukizifikiria kwa undani unaona kabisa baadae unaweza kupata changamoto nyingi endapo utaridhia kukamilisha taratibu za uchumba na kuoa.
Wakati mwingine utakutana na watu watakwambia usichunguze sana hakuna aliyekamilika na tena anaweza kuongezea kabisa kwamba ukimchunguza Sana Bata huwezi kumla na kwamba hakuna aliyekamilika.
Je mlioingia kwenye mahusiano ya mume na mke "anyway" yaani unamashaka lakini unahisi Kama umechoka kuchunguza mana kila unayeanzisha nae mahusiano Ni hola, then ukaamua tu kuoa ivo ivo mnasemaje kuhusu hili?
Wakati mwingine utakutana na watu watakwambia usichunguze sana hakuna aliyekamilika na tena anaweza kuongezea kabisa kwamba ukimchunguza Sana Bata huwezi kumla na kwamba hakuna aliyekamilika.
Je mlioingia kwenye mahusiano ya mume na mke "anyway" yaani unamashaka lakini unahisi Kama umechoka kuchunguza mana kila unayeanzisha nae mahusiano Ni hola, then ukaamua tu kuoa ivo ivo mnasemaje kuhusu hili?