Kwa mliopo kwenye ndoa na mnaotarajia kuoa

Kwa mliopo kwenye ndoa na mnaotarajia kuoa

Lotus 123

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
3,151
Reaction score
5,513
3 Lakini fahamu jambo hili: kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.

2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, watukanaji, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio na utakatifu;

3 wasio na ubinadamu, wasiopenda kusuluhishwa, wachonganishi, walafi, wakatili, wasiopenda mema;

4 wasaliti, wasiojali kitu, waliojaa majivuno, wapendao anasa badala ya kumpenda Mungu.

5 Hao ni watu ambao kwa nje wataonekana kuwa wana dini, huku wakikana nguvu ya imani yao. Jiepushe na watu wa jinsi hiyo.
 
3 Lakini fahamu jambo hili: kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu. 2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, watukanaji, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio na utakatifu;

3 wasio na ubinadamu, wasiopenda kusuluhishwa, wachonganishi, walafi, wakatili, wasiopenda mema;

4 wasaliti, wasiojali kitu, waliojaa majivuno, wapendao anasa badala ya kumpenda Mungu.

5 Hao ni watu ambao kwa nje wataonekana kuwa wana dini, huku wakikana nguvu ya imani yao. Jiepushe na watu wa jinsi hiyo.Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu. Watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu; watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema; watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu. Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake.

Hizi ndiyo sifa za watu wa kizazi Cha mwisho; kulingana na biblia
Tegemea kusalitiwa
Tegemea mke au mume kukosa shukrani hata kama umemtendea makubwa

Tegemea watu kuwa wakatili,tumeona watu wakiuana kinyama

Tegemea watu kuwa na tamaa ya fedha,mke kumsaliti mume Kwa hiyo

Tegemea wanandoa kukosa upendo

Watu watachukia mema,ndoa ni njema ila watu watachukia.

Ukisalitiwa na mke au mume fahamu ya kwamba unabii wa maandiko unatumia.
 
Mwanamke unamuoa akiwa ameshapitia mahusiano kazaa

Anajua mwanamke anaetunza mwanamke yukoje kupitia experience yake mwenyewe.

Hata akiolewa ana mengi ya kulinganisha kwa X zake kujua kama mumewe anatimiza wajibu ama anapwaya
 
yoyote mwenye chembe ya imani hawezi pinga suala la ndoa, bora aoe imshinde.
 
Back
Top Bottom