Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Sawa sawaAda yangu ilitoka kwenye biashara hii!..hakikisha unapata vibali wasikusumbue!..all the best!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaAda yangu ilitoka kwenye biashara hii!..hakikisha unapata vibali wasikusumbue!..all the best!
OkTahadhari na utapeli na udhulumishi katika biashara hii. Mbao watu wanaibiana,tapeliana,dhulumiana sana usije muamini mtu
Manengelo sio kila anayekufuatilia ni mbaya wako wengine ni mashabiki wako na wewe ni kioo chao. Mm huwa napenda sana kama kuna mtu anajifunza na kufaidi njia zangu.😅😅😅nilishakuona kila nachoandika unateseka na mm...nimesema ada .km ada jua nilikua chini ya wazaz!naijuia vilivyo uwanja wa hom ulikua unajaa mbao ...ameifanya sana baba as had leo anauza misitu yake!ha leo tuna banda mfu basihaya!
Usiteseke na usiyemjua!
Manengelo sio kila anayekufuatilia ni mbaya wako wengine ni mashabiki wako na wewe ni kioo chao. Mm huwa napenda sana kama kuna mtu anajifunza na kufaidi njia zangu.
Wengi tulielewa kama ulifanya biashara hiyo na ikakupa ada. Sorry kwa niaba ya wote na turejee kwenye mjadala uliopo kwa meza.Hivi mbona comment yangu ilikua clear kbs..ada!mie sijajisomesha nimesomeshwa!....!relax jaman!..na kwann uteseke na mm
Dhurumati wapo sana, matapeli ni wengi pia.
Ukweli ndio huo. Hii biashara inahitaji sana umakini ukithubutu kumwamini mtu ushikage mawili kupata au kupoteza.Dhurumati wapo sana, matapeli ni wengi pia.
Jamaa, alipata wateja wa cash, wakaja mara ya pili, ya tatu. Ya nne wakamsomesha ili wachukue kwa mali kauli. Baada ya week, akipiga simu inamwambia " mteja hapatikani kwa sasa".
Hakikisha una timber yako Dodoma, shika mafundi wote wa kupaua hapo Dom kila wkend watoe mnadan nyama choma tengeneza kabisa group la whatsup mnakua mnachat Mara kwa Mara. Mizigo itakuja tu yenyewe kuna akina cf wa Mafinga ana uwezo wa kukuletea hata lorry 10 kwa siku. Cha muhimu pigania uwe na power ya kuuza
Majungu gani!hebu tusikerane
[emoji28][emoji28]watesekaji ni wengi..wapi nimesema nimewah ifanya hii biashara mkuu.?hebu andika biashara 6 nizilizowahi sema nimefanya!
Jamani kuna umri hata wa kuleta habari za fictions!
Kifupi wazaz wangu wlikua waajiriwa..so na wajasiriamali!wanaufanya had uzee wao...!ukiniona siku nyingine nacoment kuhusu ufugaji wa ngombe pia usishangae pia mkuu!najua abc zoote!kwenye kilimo ndo kabisa hom ni familia ya kulima!mzee kasomea haya mambo..na kwenye miti ukinikuta usije sema huy anafanya na hii?nop..ni biashara za hom !yaan nipoteze muda kuandika fictions nipate nn?ili iweje.unahis napata relief yyt maishani!??...kumuwish tu mtu all the best(as nna idea na mbao) bas imekuwa nongwa!jamani nipumzisheni basi!
Muwe mnacment nyie msiokuwa na fictions..ukiniona nna fictions niache!
Sist
endelea kutoa elimu na ushauri katika yale unayoyajua
ama makelele ya watu
yasikuzibie njia ya mafanikio
Kisha fahamu
Upo Jf
Jf ni kiboko....
Subra muhimu sana ndg
Barikiwa
Rejeeni mezaniWengi tulielewa kama ulifanya biashara hiyo na ikakupa ada. Sorry kwa niaba ya wote na turejee kwenye mjadala uliopo kwa meza.
Asante sana MkuuHakikisha una timber yako Dodoma, shika mafundi wote wa kupaua hapo Dom kila wkend watoe mnadan nyama choma tengeneza kabisa group la whatsup mnakua mnachat Mara kwa Mara. Mizigo itakuja tu yenyewe kuna akina cf wa Mafinga ana uwezo wa kukuletea hata lorry 10 kwa siku. Cha muhimu pigania uwe na power ya kuuza
SawasawaHii biashara nzuri sana mkuu Freed Freed. Fanya kama walivyosema wajumbe wengine, tafuta eneo la kuuzia huko Dom na kwa mtaji huo wengine mizigo tutakuletea hapo hapo utakapokuwa umepata ofisi. Wewe utakuwa unapiga tu cha juu bila kupata usumbufu wa shambani na njiani.
[emoji28][emoji28][emoji28]nilishakuona kila nachoandika unateseka na mm...nimesema ada .km ada jua nilikua chini ya wazaz!naijuia vilivyo uwanja wa hom ulikua unajaa mbao ...ameifanya sana baba as had leo anauza misitu yake!ha leo tuna banda mfu basihaya!
Usiteseke na usiyemjua!
Mwanamke mwenzio anakuonea wivu kamanda kwa mafanikio yako