Kwa mliopo Mufindi na kwingineko, nataka nijitose kwenye biashara ya mbao, naombenini ushauri na uzoefu

Kwa mliopo Mufindi na kwingineko, nataka nijitose kwenye biashara ya mbao, naombenini ushauri na uzoefu

Freed Freed,

Hii biashara ni nzuri ukiwa na mazingira mazuri ya kifedha, watu wa kukusaidia kupata mzigo wasio waroho, uwe na yard ya kushushia mzigo, wauzaji wazuri na mwisho aina ya mzigo unaotafutwa sokoni.

Fanya hivi;

1. Nenda Mafinga mwenyewe ili upite kwenye vile viwanda upate bei za mbao kwa size tofauti.
2. Uliza wanaochana mbao msitu wa serikali, wanaombaje vibali. Ukipata taarifa za vibali na upasuaji wake utaweza kuamua kununua au kupasua.
3. Sikushauri kupasua toka kwenye misitu ya watu binafsi kama unaanza. Kuna figisu nyingi sana, labda ukipata GRL.
4. Angalia treated na Non treated timbers.
5. Ukitoka Mafinga nenda soko la mbao Makambako kapate bei na taratibu.
6. Nenda soko la mbao Njombe mjini ili ulinganishe.
Kiongozi
2x2= Tsh 1200
1x4=Tsh 1200
2x4=Tsh 3300
2x6=Tsh 4200
1x8=Tsh 5700
1x10=Tsh 9500

Hizo ni bei za Kila size ya Mbao Nipigie cm 0737263867.
Nibiashara zuri sana ukiwa na soko la uhakika asikukatishe mtu tamaa mawa,o yako ni mazuri. Kuhusu maswala ya vibali ni rahisi sana maliasili tunaongea nao vizuri wala hamna shida yoyote ikiwa maliasili wanasumbua,pia vipo vibali vya kukodi ko ondoa wasiwasi kabisa.

Na gharama nyingine nauli ya Transpoty ni kawaida tu.

Ushuru kila ubao kwa sasa ni Tsh 200 haijalish saizi gani.

SEMI INA PAKIA MBAO 3500 HADI 4000
Ko piga hesabu zako. karibu Boss najishughulisha na hiyo kazi.

Pia hizo bei za mbao niza kawaida sana mvua zikikata kuna mbao hadi za 900-1000 2x2. huko tunako chukulia kuleta sokoni.

Piga 0737263867 Whatssap
Piga 0673376687

FB_IMG_16440893817559286.jpg
 
Kiongozi
2x2= Tsh 1200
1x4=Tsh 1200
2x4=Tsh 3300
2x6=Tsh 4200
1x8=Tsh 5700
1x10=Tsh 9500

Hizo ni bei za Kila size ya Mbao Nipigie cm 0737263867.
Nibiashara zuri sana ukiwa na soko la uhakika asikukatishe mtu tamaa mawa,o yako ni mazuri. Kuhusu maswala ya vibali ni rahisi sana maliasili tunaongea nao vizuri wala hamna shida yoyote ikiwa maliasili wanasumbua,pia vipo vibali vya kukodi ko ondoa wasiwasi kabisa.

Na gharama nyingine nauli ya Transpoty ni kawaida tu.

Ushuru kila ubao kwa sasa ni Tsh 200 haijalish saizi gani.

SEMI INA PAKIA MBAO 3500 HADI 4000
Ko piga hesabu zako. karibu Boss najishughulisha na hiyo kazi.

Pia hizo bei za mbao niza kawaida sana mvua zikikata kuna mbao hadi za 900-1000 2x2. huko tunako chukulia kuleta sokoni.

Piga 0737263867 Whatssap
Piga 0673376687

View attachment 2113026
Kwa hizo bei mbao zako ni za vijijini sio zile za miti ya serikali hivyo ni changa. Zitampigisha hasara jamaa baada ya siku chache zinapinda na kuvunjika vunjika.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi
2x2= Tsh 1200
1x4=Tsh 1200
2x4=Tsh 3300
2x6=Tsh 4200
1x8=Tsh 5700
1x10=Tsh 9500

Hizo ni bei za Kila size ya Mbao Nipigie cm 0737263867.
Nibiashara zuri sana ukiwa na soko la uhakika asikukatishe mtu tamaa mawa,o yako ni mazuri. Kuhusu maswala ya vibali ni rahisi sana maliasili tunaongea nao vizuri wala hamna shida yoyote ikiwa maliasili wanasumbua,pia vipo vibali vya kukodi ko ondoa wasiwasi kabisa.

Na gharama nyingine nauli ya Transpoty ni kawaida tu.

Ushuru kila ubao kwa sasa ni Tsh 200 haijalish saizi gani.

SEMI INA PAKIA MBAO 3500 HADI 4000
Ko piga hesabu zako. karibu Boss najishughulisha na hiyo kazi.

Pia hizo bei za mbao niza kawaida sana mvua zikikata kuna mbao hadi za 900-1000 2x2. huko tunako chukulia kuleta sokoni.

Piga 0737263867 Whatssap
Piga 0673376687

View attachment 2113026
Cyprus vp ipo na bei
 
Wadau wa JF,

Mada hapo imeeleweka bila shaka. Nataka nijitose katika biashara ya mbao baada ya kuhisi itanilipa kwa maoni yangu. Nataka ninunue kutoka mikoa ya Njombe na Iringa na kuzisafirisha kuuza mkoani Dodoma ambapo kuna fursa kubwa ya ujenzi hivi sasa.

Ni mgeni katika biashara hii na hata mikoa tajwa ila maisha ndiyo haya haya. Sijui chochote juu ya biashara hii, sina gari la kusafirisha mbao hivyo nitakodi malori. Pia sijajua ikiwa unaandaa hela ununue magogo au mbao zilizotayarishwa na kusafirisha? Nikununua mashine za kuchana magogo mwenyewe na kuzisafirisha baada ya hapo? Njia ipi inalipa? Siamini katika ushirikina biasharani.

Naombeni maoni, ushauri na tahadhari.

Asanteni sana.
Bei Za kila size ya ubao

2x2=1200
1×4=1200
2×4=3200
2×3=2200
2×6=4300
1×8=5700
1×10=9600

Ushuru kila unao ni Tsh 250 haijalishi size ya ubao.
Nauli inategemeana na gari unayo pakia lakini ni ya kawaida tu lakini ili uone faida nzuri safirisha mzigo kwa kutumia Gari tani 30 au tani 15.

Kuhusu vibali vya maliasili wala usijali ni rahisi sana, ikiwa itakua ngumu hata mimi naweza kukusaidia kuweza safirisha mzigo wako kwa

Piga simu 0737263767 Whatsaph
Piga 0673376687

FB_IMG_16440893817559286.jpg
 
Kwa hizo bei mbao zako ni za vijijini sio zile za miti ya serikali hivyo ni changa. Zitampigisha hasara jamaa baada ya siku chache zinapinda na kuvunjika vunjika.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sio kiongozi wengi ndo tunasafirisha ni mbao nzuri kabisa na bora sana cha msingi awe na soko la kuaminika mzigo usikae zaidi ya miezi miwili au mitatu awe suplaya ni mbao supa kupinda ipo kazi na Miti imekoma sana.

Msitu wa serikali unalisha kwa sehemu ndogo sana sehemu kubwa ni mbao zinazo toka kwa wakulima wadogo wadogo.

Nenda kaangalie Soko la Bughuluni mbao nyingi ni supa na ndo zinazo toka lwa wakulima wadogo.
 
Sio kiongozi wengi ndo tunasafirisha ni mbao nzuri kabisa na bora sana cha msingi awe na soko la kuaminika mzigo usikae zaidi ya miezi miwili au mitatu awe suplaya ni mbao supa kupinda ipo kazi na Miti imekoma sana.

Msitu wa serikali unalisha kwa sehemu ndogo sana sehemu kubwa ni mbao zinazo toka kwa wakulima wadogo wadogo.

Nenda kaangalie Soko la Bughuluni mbao nyingi ni supa na ndo zinazo toka lwa wakulima wadogo.
Hili ndio nalijua mim Serikal ina utaratibu wake kuanzia kuvuna mpaka kuuza so mbao zinazotegemewa kwa kiasi kikubwa ni za wakulima
Kwa hiyo mashamba ya Serikali hayawezi kulisha kwa [emoji817] but yeye awe makini tu na wahuni wa pale Mafinga na vizur kama atafanya study kidogo kuhusu hii biashara kabla kuingia moja kwa moja
 
Hili ndio nalijua mim Serikal ina utaratibu wake kuanzia kuvuna mpaka kuuza so mbao zinazotegemewa kwa kiasi kikubwa ni za wakulima
Kwa hiyo mashamba ya Serikali hayawezi kulisha kwa [emoji817] but yeye awe makini tu na wahuni wa pale Mafinga na vizur kama atafanya study kidogo kuhusu hii biashara kabla kuingia moja kwa moja
Ni kweli Mkuu unacho kiongea cha msingi ni umakini tu lakini kwa kuwa kama atanitafuta, sisi tuko huko, contact ziko hapo, mi nakuelekeza bila shaka kazi kwake atakavyo fanya.
 
Ni kweli Mkuu unacho kiongea cha msingi ni umakini tu lakini kwa kuwa kama atanitafuta, sisi tuko huko, contact ziko hapo, mi nakuelekeza bila shaka kazi kwake atakavyo fanya.
Jamani wazima?
Nimepita juzi mitaa ya Kibengu, ni hatari tupu, kuna miti inabakwa sana, ukiongeza na ile iliyopata ajali ya moto mwaka jana, basi ni taabu tupu.
 
Kiongozi
2x2= Tsh 1200
1x4=Tsh 1200
2x4=Tsh 3300
2x6=Tsh 4200
1x8=Tsh 5700
1x10=Tsh 9500

Hizo ni bei za Kila size ya Mbao Nipigie cm 0737263867.
Nibiashara zuri sana ukiwa na soko la uhakika asikukatishe mtu tamaa mawa,o yako ni mazuri. Kuhusu maswala ya vibali ni rahisi sana maliasili tunaongea nao vizuri wala hamna shida yoyote ikiwa maliasili wanasumbua,pia vipo vibali vya kukodi ko ondoa wasiwasi kabisa.

Na gharama nyingine nauli ya Transpoty ni kawaida tu.

Ushuru kila ubao kwa sasa ni Tsh 200 haijalish saizi gani.

SEMI INA PAKIA MBAO 3500 HADI 4000
Ko piga hesabu zako. karibu Boss najishughulisha na hiyo kazi.

Pia hizo bei za mbao niza kawaida sana mvua zikikata kuna mbao hadi za 900-1000 2x2. huko tunako chukulia kuleta sokoni.

Piga 0737263867 Whatssap
Piga 0673376687

View attachment 2113026
Transport bei gani Kwa kila kilomita moja ? Au kama Una ABC zaidi kuhusu nauli.

Je gharama ya vibali ipoje
 
Back
Top Bottom