Kwa mnaoeneza uzushi dhidi ya kijana wa Kitanzania aliyeuawa na Hamas

Kwa mnaoeneza uzushi dhidi ya kijana wa Kitanzania aliyeuawa na Hamas

To all of you inventing and spreading calumnies against Joshua Mollel:

1. You are suckers.

2. You are all stupid people.

3. You are all idiots.

And if you believe everything that is being spread around by these people, then you are a sucker, a stupid person, and an idiot all in one bag of flesh!

Video iko dhahiri kabisa. Kijana hakufanya chochote kile kuhalalisha kuuliwa na hayo magaidi.

Halafu kuna Waislamu [siyo Waislamu wote] wapumbavu humu wameamua kuhalalisha mauaji yake!

Hivi kwa mfano jina lake lingekuwa ni Mahamudi Msakamali, nyie wazushi mngeeneza huo uzushi wenu kama mnavyofanya sasa?

Sifurahii mauaji ya raia yeyote yule asiye na hatia na aliyejisalimisha, lakini acha tu Netanyahu awashikishe adabu.

Mbwa nyie 🖕.
Faizy fox hii inakuhusu😁
 
Tunaaminije kama wale ni HAMAS nasio Israel ambao wako tayari kufanya lolote lile kuhadaa ulimwengu?.
042c0671-697d-44f7-b74f-a3def62fdcc0.jpg

Hawa Watu weusi wamekwenda nchini israil kujifunza mambo ya kilimo.
 
To all of you inventing and spreading calumnies against Joshua Mollel:

1. You are suckers.

2. You are all stupid people.

3. You are all idiots.

And if you believe everything that is being spread around by these people, then you are a sucker, a stupid person, and an idiot all in one bag of flesh!

Video iko dhahiri kabisa. Kijana hakufanya chochote kile kuhalalisha kuuliwa na hayo magaidi.

Halafu kuna Waislamu [siyo Waislamu wote] wapumbavu humu wameamua kuhalalisha mauaji yake!

Hivi kwa mfano jina lake lingekuwa ni Mahamudi Msakamali, nyie wazushi mngeeneza huo uzushi wenu kama mnavyofanya sasa?

Sifurahii mauaji ya raia yeyote yule asiye na hatia na aliyejisalimisha, lakini acha tu Netanyahu awashikishe adabu.

Mbwa nyie 🖕.
Screenshot_20231219_113054_com.facebook.katana.jpg
 
Tunaaminije kama wale ni HAMAS nasio Israel ambao wako tayari kufanya lolote lile kuhadaa ulimwengu?.

Imeshafafanuliwa na source ya hiyo video i.eshatajwa ilipotokea...

Fuatilia, maana nikikuambia hapa hutaamini...
 
Imeshafafanuliwa na source ya hiyo video i.eshatajwa ilipotokea...

Fuatilia, maana nikikuambia hapa hutaamini...
Wewe unaamini mwili unaweza kuchukuliwa mateka ? Taarifa ya habari azam saa 2 inasema mwili upo kwa hamas Gaza na kifo kilitokea israeli tarehe 7 inakuingia akilini hii?
 
Tatizo kuna watu wakiona waarabu wanachanganyikiwa kwao mwarabu huwa hawakosei Ila Kabila nyingine wanakosea ,wapo tayari kumkana mwafrika mwenzake sababu ya mwarabu Hamas
 
Back
Top Bottom