Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Dah basi hicho hakitakuwa kiinglishi bali kinyarwanda kilichomiksiwa na kisukumaHapana.
Nimefeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah basi hicho hakitakuwa kiinglishi bali kinyarwanda kilichomiksiwa na kisukumaHapana.
Nimefeli.
Mod rekebisha Title isome "kwa mnaojua"
Wakuu,
Mimi ni mdau wa lugha ya Kiingereza. Paragraph hii ya chini nimeandika mwenyewe kwa misamiati ambayo sio ya kubuni, ipo kwenye Dictionary kabisa na wala sio misamiati ya kifamasia, ni English kama ilivyo. Wengi hudhani wanajua English wakati kila siku anawasiliana kwa kurudia maneno yale yale na misamiati ile ile bila kuji update. Sasa ukiweza kutafsri aya hii chini ikamake sense kabisa, Basi wewe hukukimbia umande, na English yako ni original sio ya tuition:
I am a ventriloquist with non-kleptomaniac or somnambulistic behaviour. I like pedancy and numismatistism because I used to be a charlatan with connoisseuric dipsomancism, I mentalurgically became anti-polyandrist. So I am technically kakistocracist, elopy and regicidal.
Mkuu mm ni msomi wa ughaibuni, nikarudi bongo kutumikia taifa. Ukiona naandika humu ujue kwa muda huo sina shughuli hapa ofcn hivyo ninarefresh tuuu.Una dalili zote kama upo sekondari hivi,hizi haziwezi kuwa akili za mtu mwenye maisha yake mtafutaji na anayejitegemea kwa kila kitu maishani,asa nikishajua ulichoandika,what the use with my daily life hustle?
huu ni ujinga kama ulivyo ujinga mwingine.
ndio mkuuNa sisi ambao hatujapanga tunaishi kwenye nyumba zetu, i mean hatulipi kodi tunaruhusiwa kutranslate hicho kiparagraph??
Mkuu, bange ninayotumia ni ya mpakani Somalia maeneo ya Gharsia. Huwa inakuja kwa Order. Back to the topic: NA WEWE UMEFELI KUTAFSIRI??Nazijua Bange / Bangi nyingi hapa Afrika ya Mashariki ila nadhani safari hii nikiijua aina ya Bange / Bangi unayoitumia Wewe naweza nikawa ni mwenye furaha sana kwani yawezekana hata Hayati Bob Marley hakuwahi kuitumia.
Umeona eeWazee wa DEBATE mashuleni, mnakula mavuno yenu sasa.
Nimetest nao hawajui hii mineno ya kuzimuNenda Google translate
nasubiri mkuuWewe jamaa bwana umesema kwamba umetumia dictionary kuandika hayo maneno
Hufikirii kwamba na mimi naweza kuitumia nikaiweka kwenye lugha ya kiswahili ???
mkuu hicho bado ni kiingereza, hujatafsiri kitu badoGoogle transilate imetapika baadhi ya maneno
Mimi ni mchezaji wa kisasa ambaye hana tabia ya kleptomaniac au somnambulistic. Ninapenda pedancy na numismatistism kwa sababu nilikuwa ni mshikamano na ujuzi wa ujuzi, nilikuwa kiakili kuwa anti-polyandrist. Kwa hiyo mimi ni mtaalamu wa kimaadili, mwenye ujuzi na regicidal.
tafsiri aya, sio kaneno kamoja kamojahapo kwenye elopy and regicidal umekosea
muongeze na Nyani Ngabu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] dah nikicheki these comments nacheka sana..Nazijua Bange / Bangi nyingi hapa Afrika ya Mashariki ila nadhani safari hii nikiijua aina ya Bange / Bangi unayoitumia Wewe naweza nikawa ni mwenye furaha sana kwani yawezekana hata Hayati Bob Marley hakuwahi kuitumia.
Umeniangusha na kisebengo chako ichoHapana.
Nimefeli.
Mkuu unamacho sanaa[emoji2] [emoji2] [emoji2]naona kuna mtu kashachanganya id zake hivi hivi kisa kiingereza [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahaaa. Aisee Mr KisebengoooUmeniangusha na kisebengo chako icho