Ana kichogoKatika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Mwenyewe hile sauti nilijuaga ni bonge la pisi,Duh! Ndiyo ana sura mbovu hivi!
Watu wanazingatia maokoto.....Pamoja na helmet yake watu wanaoa tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah hii pisi nayo,
Ukute Kuna wanaume hawalali kisa huyu demu
Sema kwel mbele ya maokoto kupindua ngumuWatu wanazingatia maokoto.....
Kwa hilo bata analowapaga wana, wataacha kuoa???? Hata kama ni wewe utaoa tu 🤣🤣
View attachment 2792114View attachment 2792115View attachment 2792116
Hizo ni nyusi za kupaka,kanyoa zote za asili kapaka mahali pasipotakiwa kuwa na nyusi,matokeo yake nywele na nyusi zinataka kukutana,wanawake naona sasa mnachokitafuta mnakaribia kukipata....Katika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Yani huyo bwana aache kutengeneza mwili atafute hela??? Hapo pochi ni ya dida mzee babaMwenye hela hapo ni nani dida au huyo bwana?
HahahahaDah hii pisi nayo,
Ukute Kuna wanaume hawalali kisa huyu demu
Za siku shemeji, ulipotea.....Mambo yake muachieni mwenyewe...
Nipo Evelyn Salt wewe ndiyo umepotea...Za siku shemeji, ulipotea.....
Katika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Za siku shemeji, ulipotea.....
Yani huyo bwana aache kutengeneza mwili atafute hela??? Hapo pochi ni ya dida mzee baba
RipWatu wanazingatia maokoto.....
Kwa hilo bata analowapaga wana, wataacha kuoa???? Hata kama ni wewe utaoa tu 🤣🤣
View attachment 2792114View attachment 2792115View attachment 2792116
🤣🤣MJINI KUNA MAMBO AISEE
Ko nakutumia ifoni fiftn sura mbovu[emoji16][emoji16]
.Namjua Dida, yule golikipa wa Brazil
weka nyama