Kwa mnaomfahamu Dida, amefanya surgery huu uso au ndio huwa yupo hivi?

Kwa mnaomfahamu Dida, amefanya surgery huu uso au ndio huwa yupo hivi?

Umekubali umekurupuka?
Unaandika eti "usikute mtu hujawahi kukutana nae personally"....unajua maana ya KUHISI??

Wewe kwa hali ya kawaida mtu akikwambia anahisi unanuka utafikiri ni chuki,uchawi sio?
Usihisi mabaya juu ya mwenzako, na hata ukihisi usiongee public ni kumdhalilisha, unapofikisha ujumbe kwenye kundi la watu kila mtu atalipokea kwa namna anavyojua yeye.
 
Usihisi mabaya juu ya mwenzako, na hata ukihisi usiongee public ni kumdhalilisha, unapofikisha ujumbe kwenye kundi la watu kila mtu atalipokea kwa namna anavyojua yeye.

🚮🚮
 
Afu mbali na kukosa mvuto huko bado anaolewa Mara kumikumi[emoji15][emoji13][emoji86]....hakika ukishangaa ya Dida utafumaniana na ya Rose mhando
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwani waja mna nini lakini.
 
Of course, na tulijua kufanya fujo jamani! Loh
Wa kupata mababe tukapata humuhumu pia, those were the days.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sasa hv I can stay hata wiki siingii jf ujue ,zamani weeee
 
Back
Top Bottom