Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha sidhani kama ni kweli khadija kimobitel si alikuwa mnenguaji Twanga? Huyu si Dida Mchopanga? Au Khadija Mchopanga?Yah uko sahihi ni Hadija kimobitel km sijakosea
Hahahaha yani nasisi tukapigwa vibuti hadi tukabadili sura hahahah…hili jukwaa lilikuwa moto sanaOf course, na tulijua kufanya fujo jamani! Loh
Wa kupata mababe tukapata humuhumu pia, those were the days.
Hatari sanaHizo ni picha tu ukimuona kama kavaa helmet la boxer😂😂😂
Wengine tukapigana vibuti na kurudiana. Jukwaa ni la moto siku zote.Hahahaha yani nasisi tukapigwa vibuti hadi tukabadili sura hahahah…hili jukwaa lilikuwa moto sana
Mimi mbona sioni uso naona Makeup tuKatika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Tunapigwa 'puti' 🤣🤣🤣🤣 tatizo puti yake hadi uso umepoteaEvelyn Salt vile wauliza utadhani huwa hujui wanawake mkishapigwa "puti" usoni mnabadilika na kuwa na ngozi kama ya midoli ya plastic...
Dida mchopangaHaha sidhani kama ni kweli khadija kimobitel si alikuwa mnenguaji Twanga? Huyu si Dida Mchopanga? Au Khadija Mchopanga?
MajunguSijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
KADA wa CCMDida ni nani???
Dida ni mbovu sana....ashukuru walau ana hela la sivyo ingekua hatariHiyo picha ya chini ndio yeye hizo za juu ni editing…..huyu Mama ni bingwa wa kusema wenzie aiseeeeee ana komwe kama shoka….na hiyo picha ya chini ndivyo alivyo ….
Nikajua ulibadili kwa ajili ya siasa 🤣🤣🤣 kumbe mapenzi, umeupiga mwingi.Hahahaha yani nasisi tukapigwa vibuti hadi tukabadili sura hahahah…hili jukwaa lilikuwa moto sana
Duh ni kipaji nachoHahahhahaha huyu dada anachambua watu jamani, mara miguu kama mishikio ya ndoo....hiyo yake sasa 🙄 aah ndio anapata ugali wake hivo hivo maisha yanaenda
Sangara shilingi ngapi hapo mwaloni?Katika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Sivui sangara, navua.......Sangara shilingi ngapi hapo mwaloni?
Huna maana wallah!😂😂😂😂🙏Sivui sangara, navua.......
Tunapigwa 'puti' 🤣🤣🤣🤣 tatizo puti yake hadi uso umepotea
Pamoja na helmet yake watu wanaoa tuDida mchopanga
Dida edzen
Dida kumbilamoto
Dida nk akipata ndoa mpya anabadili jina
Jina la kuzaliwa ni Hadija Shaibu