To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
πππππππWakiingia ndani wanakutana na mdomo mrefu wanasepa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππWakiingia ndani wanakutana na mdomo mrefu wanasepa.
Watafutaji wapo jukwaa la biashara kule wanadiscuss mambo ya uvuvi kilimo na biashara....ila ukishakuja huku kwenye habari za wasanii nawe ni zuchu tu
Hamna ubaya da zuchu....Kwani kuna ubaya gani nikiwa Zuchu shangazi?
Ahahahaha..Nilijua tu nitakutana na hii commentNdio nani huyo huko Daslam?
Ahahahaha..Nilijua tu nitakutana na hii commentNdio nani huyo huko Daslam?
βοΈβοΈβοΈTajiri za asubuhi....
Kipa wa zamani wa Brazil.Dida ni nani???
Kwa kumuangalia tu mtu unahisi ana nuka mdomo?Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Kwa kumuangalia tu mtu unahisi ana nuka mdomo?
Amin nakwambia kwa kukuangalia tu pia kuna watu watakua wanakuhisi kua unanuka kwapa na papuch
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Nipo dukan Kuna shida gani?Mnapataga wapi muda wa kusikiliza vipindi masaa ma3 yote ......
Khadija=didaHivi Kuna mwanamke anaitwa dida? Mimi nafahamu kwa Tanzania mwenye jina la utani la dida ni golkipa mmoja
Kinondon ndo hq zaoAna kipub chake mitaa ya kinondoni
Kinajaza sana [emoji304]
Ova
Sister usiwe unachukia watu pasipo sababu kama walivyo wa Tanzania wengi, hizo ni roho za kichawi ambazo tafsiri yake hupendi mwenzako afanikiwe, rafiki au ndugu. Hio ni roho ya kimasikiniSijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Sister usiwe unachukia watu pasipo sababu kama walivyo wa Tanzania wengi, hizo ni roho za kichawi ambazo tafsiri yake hupendi mwenzako afanikiwe, rafiki au ndugu. Hio ni roho ya kimasikini
Usitukane mtu kama hujawahi kukutana nae personally, kuna watu wako poa sana tofauti na unavyoambiwa au personality wanazokuwa nazo kwenye media kwa sababu ile ni kazi.
Binafsi ni shahidi, tujifunze kuwakubali watu na kuwapa wengine moyo.
Ukiulizwa sababu ya kutoa hio shombo hata huwezi sema, ndio uchawi, nimesoma comments humu wa Tanzania wanajijua akili zao.
Tunaelewashana tu SisterChuki iko wapi kwenye nilichoandika
Usikurupuke,elewa kwanza
Umekubali umekurupuka?Tunaelewashana tu Sister