Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #61
Amekua kama kima hajapendeza bana 😁Wenyewe wenye makomwe ndo tunajua staili zetu[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekua kama kima hajapendeza bana 😁Wenyewe wenye makomwe ndo tunajua staili zetu[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Yeye kapitiliza kwenye dhambi, sijui tuiteje…Anafanya dhambi za fashion...
😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Wasaf fm 88.9 mbezi bch dar es salaamRedio au tv gani?
ilibidi nihakikishe kwanza kuwa wewe niyule Joana feki au arijino.Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Khadija..... Anaitwa ko kajiita didaHivi Kuna mwanamke anaitwa dida? Mimi nafahamu kwa Tanzania mwenye jina la utani la dida ni golkipa mmoja
We shemela..!!!Meya wa jiji 😃
Mi nipo kazuramimba ndiomaana sielewi kituWasaf fm 88.9 mbezi bch dar es salaam
ilibidi nihakikishe kwanza kuwa wewe niyule Joana feki au arijino.
ingekuwa wewe niyule feki ningekupa bonge latusi.
lakini mrembo kwakumuangalia mtu unaweza hisi ananuka mdomo😁
Hana bayaa Ila walisema dida na dkt kumbuka wakiwa kweny tendo wanavochambana.....Hivi Aziz Ki ana ubaya gani? Dogo ana unyama mwingi na kuvaa ndio balaa.
Mimi nitampea mdogo wangu bure. Lols
Halafu nikajaga kuonana nae baadae hukooo, tukashake hands.Wapi Atoto et al the team kiba 🤣🤣🤣 muda unakimbia, ulivomtetea kwa hisia nikakumbuka enzi hizo....pale Dinazarde basi tafrani
Aaah karibu dsm mzee wanguMi nipo kazuramimba ndiomaana sielewi kitu
Wewe Tena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119]
alinitapeli helazangu fala yule.Yule joannah mwingine amekukosea nini?
Mdomo wa Ally kiba naonaga mzito,ila ni hisia tu
Watu ninaowakubali bongo ni Jack Patrick, huyu dada kabla hajaenda jela ndio alikuwaga ‘loli modo’ wangu. Yule mtu anajuaaaaaa! Jela kubaya karudi hana jipya.Kuna watu hata wavae nini hawapendezi
Afu Kuna wale 'enga'hata gunia akitupia linanoga
Mfano ,Hamisa,Wolper na Lulu Hawa watu bwana wakivaa wananonga ht wakivaa gunia
Hujamalizia huko daslam..... Ni dada tu wa kazi wa kuagiza onlineDida ni nani???
Yah uko sahihi ni Hadija kimobitel km sijakoseaNasikiaga jina lake ni Hadija kaliedit likafika kuwa dida sijui ni kweli
Wewe hunuki?Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,i latakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Kimobitel yeye alikua mnenguaji sio huyu....japo nae jina lake halisi ni khadijaYah uko sahihi ni Hadija kimobitel km sijakosea