Kwa mnaomfahamu Dida, amefanya surgery huu uso au ndio huwa yupo hivi?

Kwa mnaomfahamu Dida, amefanya surgery huu uso au ndio huwa yupo hivi?

Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo

Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
ilibidi nihakikishe kwanza kuwa wewe niyule Joana feki au arijino.

ingekuwa wewe niyule feki ningekupa bonge latusi.

lakini mrembo kwakumuangalia mtu unaweza hisi ananuka mdomo😁
 
Wapi Atoto et al the team kiba 🤣🤣🤣 muda unakimbia, ulivomtetea kwa hisia nikakumbuka enzi hizo....pale Dinazarde basi tafrani
Halafu nikajaga kuonana nae baadae hukooo, tukashake hands.
Moyoni nikajisemea ungejua nilivyokuwa nakupigania mjinga wewe?

Ila ni mtu poa na ana vituko sana, so alistahili kupiganiwa.
 
Kuna watu hata wavae nini hawapendezi
Afu Kuna wale 'enga'hata gunia akitupia linanoga
Mfano ,Hamisa,Wolper na Lulu Hawa watu bwana wakivaa wananonga ht wakivaa gunia
Watu ninaowakubali bongo ni Jack Patrick, huyu dada kabla hajaenda jela ndio alikuwaga ‘loli modo’ wangu. Yule mtu anajuaaaaaa! Jela kubaya karudi hana jipya.

Lulu wa zamani, sasa hivi haamshi tena anavaa kishangazi, lol
Hamisa yes ni wakati wake sasa.

Siku hizi hakuna mambo ya kuchafua red carpet kwenye ma events, watu wanavaa wanafanya photo shoot wanapost insta basi.
Fashion imepoteza maana.
 
Back
Top Bottom