Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
notedKimobitel yeye alikua mnenguaji sio huyu....japo nae jina lake halisi ni khadija
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
notedKimobitel yeye alikua mnenguaji sio huyu....japo nae jina lake halisi ni khadija
Katika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Khadija shaibuYah uko sahihi ni Hadija kimobitel km sijakosea
[emoji23]Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Pmj mkuuKhadija shaibu
HahaaaaAmekua kama kima hajapendeza bana [emoji16]
Uzee umeingia Sasa hv[emoji38][emoji38]Jamaniiiiiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sio kama zamani bwana, nilishaacha.
Sasa hivi nikimpigania kama zamani shem darling atanuna.
Yuke jaklini kweli alikua hot Sana Tena Sana!!sijui Ndo karudi mambo yamempita Kawa wa kawaida sanaWatu ninaowakubali bongo ni Jack Patrick, huyu dada kabla hajaenda jela ndio alikuwaga ‘loli modo’ wangu. Yule mtu anajuaaaaaa! Jela kubaya karudi hana jipya.
Lulu wa zamani, sasa hivi haamshi tena anavaa kishangazi, lol
Hamisa yes ni wakati wake sasa.
Siku hizi hakuna mambo ya kuchafua red carpet kwenye ma events, watu wanavaa wanafanya photo shoot wanapost insta basi.
Fashion imepoteza maana.
Kimobitel ni mwanamuziki bwana....kaka[emoji38]Yah uko sahihi ni Hadija kimobitel km sijakosea
Of course, enzi zile tulikuwa 20's sasa hivi tunaongelea 30's na majukumu juu.Uzee umeingia Sasa hv[emoji38][emoji38]
Tatizo langu lilete pm tasavaliHivi kumbe sio peke yangu kuwa ukimtazama mtu flani unahisi ana tatizo flani? 😂😂
Umri ulikua unaruhusu pia 😁Of course, enzi zile tulikuwa 20's sasa hivi tunaongelea 30's na majukumu juu.
Lakini kubwa zaidi ni kujitambua, siwezi kushupaza akili kumpigania mtu kiasi kile tena, for what?
Huo muda nautumia na mtoto wa mtu basi.
Nitalipata wapi mimi? Idara imekamilikaTatizo langu lilete pm tasavali
Of course, na tulijua kufanya fujo jamani! LohUmri ulikua unaruhusu pia 😁
Mlongazila effectKatika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Wewe toto la kiarabu na Kiba ni damu dam sana tanguvenzi😂😂Ali Kiba muache please, nimeonana nae mara nyingi naweza kuthibitisha pasi na shaka hana tatizo hilo.