Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhahaha huyu dada anachambua watu jamani, mara miguu kama mishikio ya ndoo....hiyo yake sasa 🙄 aah ndio anapata ugali wake hivo hivo maisha yanaendaAnakwambia uso km mbuzii wa shughul usojua kupodoka mjini zinakustr make up na wigs za kubond [emoji3]
Itakua tu hapendezi hata akivaa vizuri, kwa hizo hela si angekua anadizaniwa viwalo.....Mungu hakupi vyote! Dida kabarikiwa kipato ila kipaji cha kujua avae nini au nywele gani ya kumpendeza ndio kanyimwa.
Huyu katika ulimwengu wa fashion tumpe msamaha, ni kumuonea tu kumuongelea.
Hivi kumbe sio peke yangu kuwa ukimtazama mtu flani unahisi ana tatizo flani? 😂😂Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Sijui ni ana mdomo sana, akiolewa jmosi, jmosi ijayo anaachika.....hanimuni haijaisha tayari kaachwaHuyu ana ndoa nyingi mjini kuliko miaka ya Whozu
Waoane na Dr. Fumbuka wakachambane ndani saa ya tendo😂Hahahhahaha huyu dada anachambua watu jamani, mara miguu kama mishikio ya ndoo....hiyo yake sasa 🙄 aah ndio anapata ugali wake hivo hivo maisha yanaenda
Ila mm napenda kumsklzaga tuu..... Mara ooh miguu km maiwedha[emoji16], Ila Lina maokotooHahahhahaha huyu dada anachambua watu jamani, mara miguu kama mishikio ya ndoo....hiyo yake sasa [emoji849] aah ndio anapata ugali wake hivo hivo maisha yanaenda
Hivi kumbe sio peke yangu kuwa ukimtazama mtu flani unahisi ana tatizo flani? 😂😂
J Lo stan.Sijui ni ana mdomo sana, akiolewa jmosi, jmosi ijayo anaachika.....hanimuni haijaisha tayari kaachwa
Aisee 🤣Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Apo utaskia mwanaume gani km urojo wa Zanzibar [emoji3],Wapane na Dr. Fumbuka wakachambane ndani saa ya tendo[emoji23]
Wanaume wanafata hela zake hapo 😃 labda braza meya ndio alifata huo mvutoAfu mbali na kukosa mvuto huko bado anaolewa Mara kumikumi😳😝🙉....hakika ukishangaa ya Dida utafumaniana na ya Rose mhando
Ali Kiba muache please, nimeonana nae mara nyingi naweza kuthibitisha pasi na shaka hana tatizo hilo.Sijui kwanini huyu mama na Ally Kiba huwa nahisi wananuka mdomo
Nwei,itakuwa ni pose la picha tu...japo sijawahi kumuona ana komwe
Ndio vijana huwa wanawinda hayo maokoto yake, wanatangaza ndoa asubuhi na jioniIla mm napenda kumsklzaga tuu..... Mara ooh miguu km maiwedha[emoji16], Ila Lina maokotoo
Nifah umenkumbusha mbaliAli Kiba muache please, nimeonana nae mara nyingi naweza kuthibitisha pasi na shaka hana tatizo hilo.
Ali Kiba muache please, nimeonana nae mara nyingi naweza kuthibitisha pasi na shaka hana tatizo hilo.
Hivi unadhani kuwa na hela ndio kujua kuvaa?Itakua tu hapendezi hata akivaa vizuri, kwa hizo hela si angekua anadizaniwa viwalo.....