Kwa mnaosema Hamas ni mgambo, hebu waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe Dar, mtapona?

Kwa mnaosema Hamas ni mgambo, hebu waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe Dar, mtapona?

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Na mbaya zaidi wanarusha hizi rockets huku wakitumia makazi ya watu yenye watoto na familia, hivyo Israel inajibu kwa umakini la sivyo Israel ina uwezo wa kuangamiza Gaza na kuifanya majivu tena ndani ya lisaa limoja tu.

Mnaosema HAMAS ni mgambo, hebu hapo ukiwa umevimbiwa ubwabwa Tandale waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe kushambulia Dar, je mna uwezo wa kuyadungua kama walivyofanya Israel? Ama ndio mtafutika mkijiona.

Hayo mazombi ya HAMAS yenye mlengo wa kidini yamewekeza muda mrefu sana, yamechimba mahandaki chini yo misikiti na mahospitali na shule za watoto, mataifa ya Kiislamu kama Iran yamekua yakiwafadhili kwa muda mrefu ili yajipange, ila Mungu wa Wayahudi ameshinda 'mungu' wa hayo mataifa maana tumeshuhudia kilichotendeka.

================

The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)

The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)

Terror groups have fired more than 7,400 rockets into Israel since October 7, says a government representative.
According to Government Press Office figures, the Iron Dome intercepted over 1,100 of these rockets, 550 misfired and fell inside Gaza, and more than 400 directly hit Israel.

The figures did not account for several thousand rockets, many of which may have fallen in open areas, although the government did not immediately qualify the discrepancy.

Times of Israel
 
1701054877006.png
 

Haya mapicha hayasaidii kitu, mlibwatuka alla akbar huku mkifyatua rockets kutoka kwenye makazi ya hao watoto, mlitegemea wapewe pipi na Israel, ndio mjifunze kwamba Wayahudi ni makatili, muepukane nao kwenye uzombi wa dini yenu, fanyeni shobo zenu kwa Wakristo lakini epuka Wayahudi.
 
Hamas, Hezbollah, Islamic Jihad, Isis, Al Qaeda, Al Shabaab, Al Nusrat Al Din, Boko Haram nk nk ni vikundi vinavyojulikana kama vya kigaidi na vyote vinamilikiwa na wafuasi wa imani moja tu wanaodai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na kwamba wakifa wakimpigania wanaenda ahera kupewa mabikra 72 na Haineken inayotiririka kwenye mito ya ahera. Bure kabisa.
 
Na mbaya zaidi wanarusha hizi rockets huku wakitumia makazi ya watu yenye watoto na familia, hivyo Israel inajibu kwa umakini la sivyo Israel ina uwezo wa kuangamiza Gaza na kuifanya majivu tena ndani ya lisaa limoja tu.

Mnaosema HAMAS ni mgambo, hebu hapo ukiwa umevimbiwa ubwabwa Tandale waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe kushambulia Dar, je mna uwezo wa kuyadungua kama walivyofanya Israel? Ama ndio mtafutika mkijiona.

Hayo mazombi ya HAMAS yenye mlengo wa kidini yamewekeza muda mrefu sana, yamechimba mahandaki chini yo misikiti na mahospitali na shule za watoto, mataifa ya Kiislamu kama Iran yamekua yakiwafadhili kwa muda mrefu ili yajipange, ila Mungu wa Wayahudi ameshinda 'mungu' wa hayo mataifa maana tumeshuhudia kilichotendeka.

================

The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)

The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)

Terror groups have fired more than 7,400 rockets into Israel since October 7, says a government representative.
According to Government Press Office figures, the Iron Dome intercepted over 1,100 of these rockets, 550 misfired and fell inside Gaza, and more than 400 directly hit Israel.

The figures did not account for several thousand rockets, many of which may have fallen in open areas, although the government did not immediately qualify the discrepancy.

Times of Israel
Zitumwe hapo kwenu Nairobi ili uache mdomo
 
Kuna watu wakisikia MIGAMBO, Huwa wanafananisha na MIGAMBO wa jiji la Dar-Es-Salaam.

HAMAS–the acronym for Harakat al-Muqawama al-Islamiya (Islamic Resistance Movement)—
It is the largest and most capable militant group in the Palestinian territories and one of the territories’ two major political parties.

HAMAS emerged in 1987 during the first Palestinian uprising, or intifada, as an outgrowth of the Muslim Brotherhood’s Palestinian branch.

The group is committed to armed resistance against Israel and the creation of an Islamic Palestinian state in Israel’s place.

HAMAS has been the de facto governing body in the Gaza Strip since 2007, when it ousted the Palestinian Authority from power.
 
Kiuhalisia Israel wameshindwa vita na HAMAS. Lengo la vita lilikuwa kuwakomboa mateka na kuwateketeza kabisa HAMAS. Hilo limeshindika na Mazayuni yamelazimika kukubaliana na HAMAS kubadilishana wafungwa wa Kipalestina 150 walioko kwenye jela za Israel kwa mateka 50. Katika sayansi ya kivita ukishindwa kufikia malengo technically umeshindwa vita.
Kulikuwa na sababu gani za kushambulia makazi ya raia na kuua raia wasio na hatia iwapo mlango wa kidiplomasia ulikuwa wazi? Huku ni kushindwa kwa mara ya pili kwa Israel baada ya mwaka 2006 kuchapwa na Hizboullah.
 
Back
Top Bottom