Kwa mnaosema Hamas ni mgambo, hebu waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe Dar, mtapona?

Kwa mnaosema Hamas ni mgambo, hebu waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe Dar, mtapona?

Elimu ndio tatizo hapo... mtu anaambiwa atapewa mabikra 72 wakati anaemwambia yupo anaburudika hapa hapa dunian...
Ndio yale yale eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika
Ww pamoja na elimu yako bado mmeruhusiwa wanaume kugeuzana.
 
Hamas, Hezbollah, Islamic Jihad, Isis, Al Qaeda, Al Shabaab, Al Nusrat Al Din, Boko Haram nk nk ni vikundi vinavyojulikana kama vya kigaidi na vyote vinamilikiwa na wafuasi wa imani moja tu wanaodai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na kwamba wakifa wakimpigania wanaenda ahera kupewa mabikra 72 na Haineken inayotiririka kwenye mito ya ahera. Bure kabisa.
Hapo tatizo ni dini, ila papa karuhusu mfirane mnaona sawa tu.
 
Are you sure vikundi hivi havimilikiwi na Taifa kubwa? Je wanapata wapi fedha, wanapata wapi silaha, wanapata wapi inteligency information, nani anawapa training? Maswali ni mengi sana majibu ni machache.. .kuna mtu mkubwa sana nyuma yao.

Angalia M23 wanakaa msituni huko lakini wana silaha za hatari, na supply yao haikatiki miaka nenda
Hiyo nchi kubwa ni ipi inayochukua waislamu tu na kuwafanya magaidi na waislamu nao wanakubali na kwa nini isichukue wakristo basi na kwa nini hao magaidi waseme kwamba wanampigania mungu wao anayeitwa allah na wala sio Jehova. Tunaomba majibu na usiingie mitini.
 
Tumejua wanapojificha.....Bila bila
Kuna andaki tumeligundua...bila
Hamas hawatakuwepo Tena.😂
Spin tu.
 
Kiuhalisia Israel wameshindwa vita na HAMAS. Lengo la vita lilikuwa kuwakomboa mateka na kuwateketeza kabisa HAMAS. Hilo limeshindika na Mazayuni yamelazimika kukubaliana na HAMAS kubadilishana wafungwa wa Kipalestina 150 walioko kwenye jela za Israel kwa mateka 50. Katika sayansi ya kivita ukishindwa kufikia malengo technically umeshindwa vita.
Kulikuwa na sababu gani za kushambulia makazi ya raia na kuua raia wasio na hatia iwapo mlango wa kidiplomasia ulikuwa wazi? Huku ni kushindwa kwa mara ya pili kwa Israel baada ya mwaka 2006 kuchapwa na Hizboullah.


Ok na lengo la Hamas lilikuwa nini.. kwa hiyo unataka kutuaminisha lengo la
Hamas ilikuwa kuvamia Israel na kuua au kuteka watu 200 tu ambao
Israel kashindwa kukomboa..

Yaan unawakosea sana Hamas kwa kuwaambia wameshinda utadhan lengo lao ni kuteka wa 200.. ila wao waangamizwe na kuharibiwa makaz ya nusu ya kizaz chako kisha useme wameshinda...

Watu hata wakiachiwa gaza itawachukua more than 10 yrs maisha kurud hali ya zaman useme wameshinda vita?
 
Hiyo nchi kubwa ni ipi inayochukua waislamu tu na kuwafanya magaidi na waislamu nao wanakubali na kwa nini isichukue wakristo basi na kwa nini hao magaidi waseme kwamba wanampigania mungu wao anayeitwa allah na wala sio Jehova. Tunaomba majibu na usiingie mitini.
Kuna kitu kinaitwa Radicalization. Huwezi kuwafanya wakristu radical utatumia nguvu nyingi sana.

Unafahamu historia ya Osama Bin Laden? Kama hujui kaisome itafakari utajua na wahusika
 
Na mbaya zaidi wanarusha hizi rockets huku wakitumia makazi ya watu yenye watoto na familia, hivyo Israel inajibu kwa umakini la sivyo Israel ina uwezo wa kuangamiza Gaza na kuifanya majivu tena ndani ya lisaa limoja tu.

Mnaosema HAMAS ni mgambo, hebu hapo ukiwa umevimbiwa ubwabwa Tandale waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe kushambulia Dar, je mna uwezo wa kuyadungua kama walivyofanya Israel? Ama ndio mtafutika mkijiona.

Hayo mazombi ya HAMAS yenye mlengo wa kidini yamewekeza muda mrefu sana, yamechimba mahandaki chini yo misikiti na mahospitali na shule za watoto, mataifa ya Kiislamu kama Iran yamekua yakiwafadhili kwa muda mrefu ili yajipange, ila Mungu wa Wayahudi ameshinda 'mungu' wa hayo mataifa maana tumeshuhudia kilichotendeka.

================

The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)

The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)

Terror groups have fired more than 7,400 rockets into Israel since October 7, says a government representative.
According to Government Press Office figures, the Iron Dome intercepted over 1,100 of these rockets, 550 misfired and fell inside Gaza, and more than 400 directly hit Israel.

The figures did not account for several thousand rockets, many of which may have fallen in open areas, although the government did not immediately qualify the discrepancy.

Times of Israel
Mungu yupi?
 
Yani Umenukuu mpaka habari kwa Kiingereza halafu bado hujajua Mgambo ni nini...!?

Hamas hata wangekua Na Nyuklia, bado ni Mgambo tu.
 
Hapo tatizo ni dini, ila papa karuhusu mfirane mnaona sawa tu.

Halafu huyu mwamba ndiye alikua anayafanya kabisa
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Sio mgambo ni kikundi cha magaidi yenye mlengo wa kidini.
Hata ANC waliitwa magaidi.

Hamas ni Freedom Fighters, Mandela aliolozeshwa katika list ya magaidi miaka hio.

Mimi Christian, ila nasimama na Palestina.

Israel, na huyu PM "bibi" ni kama wameleta ushamba Fulani kwenye hii vita.
 
Back
Top Bottom