Kwa mnaosema Hamas ni mgambo, hebu waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe Dar, mtapona?

Kwa mnaosema Hamas ni mgambo, hebu waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe Dar, mtapona?

Kiuhalisia Israel wameshindwa vita na HAMAS. Lengo la vita lilikuwa kuwakomboa mateka na kuwateketeza kabisa HAMAS. Hilo limeshindika na Mazayuni yamelazimika kukubaliana na HAMAS kubadilishana wafungwa wa Kipalestina 150 walioko kwenye jela za Israel kwa mateka 50. Katika sayansi ya kivita ukishindwa kufikia malengo technically umeshindwa vita.
Kulikuwa na sababu gani za kushambulia makazi ya raia na kuua raia wasio na hatia iwapo mlango wa kidiplomasia ulikuwa wazi? Huku ni kushindwa kwa mara ya pili kwa Israel baada ya mwaka 2006 kuchapwa na Hizboullah.

Ndio porojo mnazoaminishana huko, lengo lilikua kuhakikisha Gaza haiwi tatizo tena kwa Israel kwa miaka 100 ijayo na kwa kipigo mlichopokea mpaka hapo hamuwezi kuzingua, majengo 56,000 yameporomoshwa, mazombi yenu yameuawa zaidi ya 15,000 na bado Israel wanasema kipodo kitaendelea.

Suala la mateka imebidi Israel isitishe vita kwa shinikizo la Marekani maana humo kuna Wamarekani, ila Israel ilikua imeshahesabu kwamba imewapoteza na kutumia hiyo fursa kuwatia adabu na maugaidi yenu ya kidini.
 
Ndio porojo mnazoaminishana huko, lengo lilikua kuhakikisha Gaza haiwi tatizo tena kwa Israel kwa miaka 100 ijayo na kwa kipigo mlichopokea mpaka hapo hamuwezi kuzingua, majengo 56,000 yameporomoshwa, mazombi yenu yameuawa zaidi ya 15,000 na bado Israel wanasema kipodo kitaendelea.

Suala la mateka imebidi Israel isitishe vita kwa shinikizo la Marekani maana humo kuna Wamarekani, ila Israel ilikua imeshahesabu kwamba imewapoteza na kutumia hiyo fursa kuwatia adabu na maugaidi yenu ya kidini.
Hamas kundi teule
 
Na mbaya zaidi wanarusha hizi rockets huku wakitumia makazi ya watu yenye watoto na familia, hivyo Israel inajibu kwa umakini la sivyo Israel ina uwezo wa kuangamiza Gaza na kuifanya majivu tena ndani ya lisaa limoja tu.

Mnaosema HAMAS ni mgambo, hebu hapo ukiwa umevimbiwa ubwabwa Tandale waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe kushambulia Dar, je mna uwezo wa kuyadungua kama walivyofanya Israel? Ama ndio mtafutika mkijiona.

Hayo mazombi ya HAMAS yenye mlengo wa kidini yamewekeza muda mrefu sana, yamechimba mahandaki chini yo misikiti na mahospitali na shule za watoto, mataifa ya Kiislamu kama Iran yamekua yakiwafadhili kwa muda mrefu ili yajipange, ila Mungu wa Wayahudi ameshinda 'mungu' wa hayo mataifa maana tumeshuhudia kilichotendeka.

================

The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)

The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)

Terror groups have fired more than 7,400 rockets into Israel since October 7, says a government representative.
According to Government Press Office figures, the Iron Dome intercepted over 1,100 of these rockets, 550 misfired and fell inside Gaza, and more than 400 directly hit Israel.

The figures did not account for several thousand rockets, many of which may have fallen in open areas, although the government did not immediately qualify the discrepancy.

Times of Israel
Hadi israel kakaa mezani na anaowaita magaidi maana yake ameshindwa vita tena mbaya unashindwa vita na mgambo
 
Sasa unataka warushe kutokea wapi wakati Gaza ni the most densely populated area on earth?. Hawana eneo la ziada la kurushia makombora yao ambalo halina watu.
Kama mnalijua hilo muache kulalamika kuwa Israel inaua watoto
 
Kiuhalisia Israel wameshindwa vita na HAMAS. Lengo la vita lilikuwa kuwakomboa mateka na kuwateketeza kabisa HAMAS. Hilo limeshindika na Mazayuni yamelazimika kukubaliana na HAMAS kubadilishana wafungwa wa Kipalestina 150 walioko kwenye jela za Israel kwa mateka 50. Katika sayansi ya kivita ukishindwa kufikia malengo technically umeshindwa vita.
Kulikuwa na sababu gani za kushambulia makazi ya raia na kuua raia wasio na hatia iwapo mlango wa kidiplomasia ulikuwa wazi? Huku ni kushindwa kwa mara ya pili kwa Israel baada ya mwaka 2006 kuchapwa na Hizboullah.
Lengo kubwa kabisa la waarabu na magaidi wote ni kuifuta kabisa Israel kwenye ramani ya dunia sasa cha kujiuliza je hiyo ndoto imetimia safari hii....???😛😛😛
 
Hadi israel kakaa mezani na anaowaita magaidi maana yake ameshindwa vita tena mbaya unashindwa vita na mgambo
Sio mgambo ni magaidi. Vita dhidi ya magaidi yenye mlengo wa kidini ni ngumu siku zote.
Kama ilivyo Nigeria dhidi ya bokoharam, Kenya dhidi ya alshabaab
 
HAMAS ni wapigania uhuru.

Nitajie kikundi kimoja cha wapigania uhuru ambacho hakijawahi kuitwa magaidi!
PLO ya Yasser Arafat ndiyo wapigania uhuru hao Hamas ni wahuni na mashetani tu. Uhuru gani unaenda kumteka mtoto wa miaka minne na kwenda kumshikilia ktk handaki na kuchinja wajawazito, wapigania uhuru wanapigana na wanajeshi siyo hao mashetani wa Hamas.
 
Sio mgambo ni magaidi. Vita dhidi ya magaidi yenye mlengo wa kidini ni ngumu siku zote.
Kama ilivyo Nigeria dhidi ya bokoharam, Kenya dhidi ya alshabaab
Mimi naona kule boko haram kama wapo kisiasa kuna back u kubwa sana wanapata kama ilivyo vikundi vya waasi bya congo
 
Back
Top Bottom