green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Haijatimia lakini magaidi wa kizayuni wanaishi kwa hofu miaka yoteLengo kubwa kabisa la waarabu na magaidi wote ni kuifuta kabisa Israel kwenye ramani ya dunia sasa cha kujiuliza je hiyo ndoto imetimia safari hii....???πππ
Hadi israel kakaa mezani na anaowaita magaidi maana yake ameshindwa vita tena mbaya unashindwa vita na mgambo
Pesa inaongea itajengwa kama ilivyojengwa dubai kaa kwa kutuliaGaza imerudishwa nyuma miaka kumi, mazombi ya dini yenu yaneuawa 15,000 na mamilioni wanahangaika kama wakimbizi na mateka mumerejesha, ujue kweli madrassa huwafanya muwe zero brain.
uharo mtupu.Na mbaya zaidi wanarusha hizi rockets huku wakitumia makazi ya watu yenye watoto na familia, hivyo Israel inajibu kwa umakini la sivyo Israel ina uwezo wa kuangamiza Gaza na kuifanya majivu tena ndani ya lisaa limoja tu.
Mnaosema HAMAS ni mgambo, hebu hapo ukiwa umevimbiwa ubwabwa Tandale waza mizinga ya rockets 7,400 yote ielekezwe kushambulia Dar, je mna uwezo wa kuyadungua kama walivyofanya Israel? Ama ndio mtafutika mkijiona.
Hayo mazombi ya HAMAS yenye mlengo wa kidini yamewekeza muda mrefu sana, yamechimba mahandaki chini yo misikiti na mahospitali na shule za watoto, mataifa ya Kiislamu kama Iran yamekua yakiwafadhili kwa muda mrefu ili yajipange, ila Mungu wa Wayahudi ameshinda 'mungu' wa hayo mataifa maana tumeshuhudia kilichotendeka.
================
The Iron Dome air defense system fires to intercept a rocket fired from the Gaza Strip, in Ashkelon, October 20, 2023. (AP Photo/Avi Roccah)
Terror groups have fired more than 7,400 rockets into Israel since October 7, says a government representative.
According to Government Press Office figures, the Iron Dome intercepted over 1,100 of these rockets, 550 misfired and fell inside Gaza, and more than 400 directly hit Israel.
The figures did not account for several thousand rockets, many of which may have fallen in open areas, although the government did not immediately qualify the discrepancy.
Times of Israel
Mr Uharo kwenye ubora wake.Gaza imerudishwa nyuma miaka kumi, mazombi ya dini yenu yameuawa 15,000 na mamilioni wanahangaika kama wakimbizi na mateka mumerejesha, ujue kweli madrassa huwafanya muwe zero brain.
Lengo la Hamas sio uhuru ni kuifuta Israeli kwenye uso wa dunia.Wapewe tu uhuru wao, wataacha harakati za silaha!
Hakuuondolei hamas uteule walonaoTemana na Wayahudi, mtaliwa sana nyie
Hata hilo lengo lao ni teule sio bayaLengo la Hamas sio uhuru ni kuifuta Israeli kwenye uso wa dunia.
Uhaaro.comMazombi 15,000 hayatafufuliwa, na mengine mamilioni yanateseka huko nje ndio ujue mko zero brain, na kichapo kiko pale pale.
Sawa Israeli nae kama taifa huru ana haki ya kujilinda asifutwe na magaidiHata hilo lengo lao ni teule sio baya
Are you sure vikundi hivi havimilikiwi na Taifa kubwa? Je wanapata wapi fedha, wanapata wapi silaha, wanapata wapi inteligency information, nani anawapa training? Maswali ni mengi sana majibu ni machache.. .kuna mtu mkubwa sana nyuma yao.Hamas, Hezbollah, Islamic Jihad, Isis, Al Qaeda, Al Shabaab, Al Nusrat Al Din, Boko Haram nk nk ni vikundi vinavyojulikana kama vya kigaidi na vyote vinamilikiwa na wafuasi wa imani moja tu wanaodai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na kwamba wakifa wakimpigania wanaenda ahera kupewa mabikra 72 na Haineken inayotiririka kwenye mito ya ahera. Bure kabisa.
Hata waisrael nao wanakufa na hawakai kwa amani huyo netanyahu na wanaheshi wake waneshapoteana wanaishia kulaumiana wenyewe kwa wenyeweMazombi 15,000 hayatafufuliwa, na mengine mamilioni yanateseka huko nje ndio ujue mko zero brain, na kichapo kiko pale pale.
Hata waisrael nao wanakufa na hawakai kwa amani huyo netanyahu na wanaheshi wake waneshapoteana wanaishia kulaumiana wenyewe kwa wenyewe
Ilikuwa ni lazima kurusha hiyo tarehe 7/10?Sasa unataka warushe kutokea wapi wakati Gaza ni the most densely populated area on earth?. Hawana eneo la ziada la kurushia makombora yao ambalo halina watu.
Ahahaha,kweli chuki humfanya mtu kuwa punguani...Sasa nani kaua raia/wanawake/watoto!?Magaidi ni yale yanaoua raia kwa ukatili huku yakiimba allahu wakbar kumtukuza mungu wao mpenda damu za watu
Warudi kwao walikokua kabla ya kusaidiwa na uingereza kupora nchi ya watuLengo la Hamas sio uhuru ni kuifuta Israeli kwenye uso wa dunia.